• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
KAGERA REGIONAL WEBSITE

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na SerikaliI za Mitaa Mkoa wa Kagera

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu/Vitengo
      • Sehemu
        • Usimamizi Ufuatiliaji na Ukaguzi
        • Miundombinu
        • Elimu
          • Elimu ya Msingi
          • Elimu ya Sekondari
          • Elimu ya Watu Wazima
          • Elimu ya Juu
          • Michezo
          • Vijana
        • Afya
          • Afya
          • Ustawi wa Jamii
        • Utawala na Rasilimali Watu
        • Mipango na Uratibu
          • Mipango
          • Takwimu
          • Maendeleo ya Jamii
          • TASAF
        • Uchumi na Uzalishaji
          • Kilimo cha Umwagiliaji
          • Viwanda na Biashara
          • Uvuvi
          • Mifugo
          • Maliasili, Utalii na Mazingira
          • Ushirika
          • Kilimo
        • Uwekezaji Viwanda na Biashara
      • Vitengo
        • TEHAMA
        • Sheria
        • Fedha na Uhasibu
        • Ukaguzi wa Ndani
        • Ugavi
        • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Bukoba
      • Viongozi wa Bukoba
    • Biharamulo
      • Viongozi wa Biharamulo
    • Karagwe
      • Viongozi wa Karagwe
    • Kyerwa
      • Viongozi wa Kyerwa
    • Missenyi
      • Viongozi wa Missenyi
    • Muleba
      • Viongozi wa Muleba
    • Ngara
      • Viongozi wa Ngara
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Manispaa ya Bukoba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Bukoba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Biharamulo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Karagwe
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kyerwa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Misseny
    • Halmashauri ya Wilaya ya Muleba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ngara
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Fursa za Ufugaji
    • Fursa za Kilimo
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Ufugaji
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
    • Jarida
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali

Tukio la Uzinduzi wa Tawi Jipya la Benki ya NMB Kaitaba Katika Manispaa ya Bukoba.

Imewekwa : October 6th, 2017

Benki ya NMB Yazindua Tawi Jipya Kaitaba Manispaa ya Bukoba

Benki ya NMB yazindua tawi jipya katika Manispaa ya Bukoba ili kuongeza ufanisi wa utoaji wa huduma zake kwa  wateja wa benk hiyo. Tawi jipya la Benki ya NMB lijuliknalo kwa jina la KAITABA lilizinduliwa Rasmi na Mkuu wa Mkoa wa Kagera Meja Jenerali Mstaafu Salum M. Kijuu Oktoba 4, 2017.

Katika uzinduzi huo wa tawi jipya la Kaitaba pia Mkurugenzi  wa NMB Tanzania Bi Ineke Bussemaker alihudhuria  ambapo alisema kuwa tangu kubinafsishwa kwa Benki ya NMB miaka 12 iliyopita tawi la Kaitaba ni tawi la 211 kutoka matawi 100 yaliyokuwepo awali nchi nzima.

Bi Ineke alisema Benki hiyo imepiga hatua kubwa za kimaendeleo tangu kubinafsishwa miaka 12 iliyopita  kwani hadi sasa Benki hiyo ina Mawakala zaidi ya 3800 nchi nzima. Aidha alisema kuwa tayari Benki hiyo inatoa huduma za internet kuwa wateja wao  ambapo wanaweza kutoa fedha popote walipo bila kufika katika Benki.

Pia Bi Ineke Alisema kuwa Benki ya NMB tayari ipo kwenye soko la hisa na hisa zake zinapanda kila siku pia tayari hisa hizo zina  wateja zaidi ya milioni 2. “Benki ya NMB kwasasa ni benki bora afrika na tumepata cheti cha ubora .” Alisistiza Bi Ineke.

Aidha,  Bi Ineke alitoa ufafanuzi wa kwanini limeongezwa tawi jipya katika Manispaa ya Bukoba kuwa ni kutokana na maombi ya wateja wao kuwa hapo awali huduma zilikuwa haziendi kama matarajio ya wateja wao na wao kama benki wakaamua kutekeleza maombi ya wateja kwa kuongeza tawi la Kaitaba.

Mkuu wa Mkoa wa Kagera Meja Jenerali Mstaafu Salum M. Kijuu akizindua tawi la Kaitaba aliwashukuru Uongozi wa Benki ya NMB kuongeza tawi jipya mjini Bukoba na aliwaasa wajasiliamali kutumia fursa hiyo kuongeza mitaji yao  kupitia Benki ya NMB tawi la Kaitaba.

Aidha, Mhe Kijuu alitoa wito pia kwa wananchi wa Mkoa wa Kagera hasa Manispaa ya Bukoba kuchangamkia huduma ya chap chap iliyoanzishwa na Benki ya NMB ili kupata huduma za kifedha kwa wakati na kufanya shughuli  zao za kujiingizia kipato.

Matangazo

  • No records found
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Kamati ya Ushauri ya Mkoa wa Kagera Yaridhia Jimbo la Uchaguzi la Nkenge Kuitwa Jimbo la Uchaguzi Missenyi

    March 17, 2025
  • Mkuu wa Mkoa wa Mwassa Awashukuru Wabunge Kupitisha Fedha za Miradi ya Mapinduzi ya Kiuchumi Kagera

    March 14, 2025
  • Viongozi wa Dini Wahimizwa Kudumisha Mshikamano Ili Kukuza Uchumi wa Mkoa wa Kagera – RC Mwassa

    March 14, 2025
  • TULIPE KODI-RC MWASSA

    October 07, 2023
  • Tazama zote

Video

KAGERA REGION DOCUMENTARY
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Taratibu za biashara ya ndani
  • Barabara Kuu na ndogo za Mkoa
  • Vituo vya Redio Katika Mkoa wa Kagera
  • Wakuu wa Mkoa wa Kagera Tangu Uhuru Mwaka 1961
  • Matokeo ya Darasa la VII 2018, Wanafunzi 10 Bora, Shule 10 Bora, Watakaojiunga Kidato cha I, 2019
  • Kitabu cha Mwongozo wa Uwekezaji Kagera 2019
  • FOMU YA USAJILI WA WAFANYABIASAHARA NA WADAU WA MKOA WA KAGERA, ZIARA YA KUTEMBELEA NCHI ZA AFRIKA MASHARIKI NA KATI KWA LENGO LA KUTAFUTA FURSA ZA BIASHARA NA UWEKEZAJI NOVEMBER, 2019.

Tovuti Mashuhuri

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Takwimu Huria

Wafuatiliaji Kimataifa

world map hits counter

Kaunta ya Wageni

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Kagera

    Anwani: S.L.P 299 BUKOBA

    Simu ya Mezani: 255 28 2220215/17

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras.kagera@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma Zetu
    • Hakimiliki

Haki zote zimehifadhiwa