• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
KAGERA REGIONAL WEBSITE

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na SerikaliI za Mitaa Mkoa wa Kagera

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu/Vitengo
      • Sehemu
        • Usimamizi Ufuatiliaji na Ukaguzi
        • Miundombinu
        • Elimu
          • Elimu ya Msingi
          • Elimu ya Sekondari
          • Elimu ya Watu Wazima
          • Elimu ya Juu
          • Michezo
          • Vijana
        • Afya
          • Afya
          • Ustawi wa Jamii
        • Utawala na Rasilimali Watu
        • Mipango na Uratibu
          • Mipango
          • Takwimu
          • Maendeleo ya Jamii
          • TASAF
        • Uchumi na Uzalishaji
          • Kilimo cha Umwagiliaji
          • Viwanda na Biashara
          • Uvuvi
          • Mifugo
          • Maliasili, Utalii na Mazingira
          • Ushirika
          • Kilimo
        • Uwekezaji Viwanda na Biashara
      • Vitengo
        • TEHAMA
        • Sheria
        • Fedha na Uhasibu
        • Ukaguzi wa Ndani
        • Ugavi
        • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Bukoba
      • Viongozi wa Bukoba
    • Biharamulo
      • Viongozi wa Biharamulo
    • Karagwe
      • Viongozi wa Karagwe
    • Kyerwa
      • Viongozi wa Kyerwa
    • Missenyi
      • Viongozi wa Missenyi
    • Muleba
      • Viongozi wa Muleba
    • Ngara
      • Viongozi wa Ngara
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Manispaa ya Bukoba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Bukoba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Biharamulo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Karagwe
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kyerwa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Misseny
    • Halmashauri ya Wilaya ya Muleba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ngara
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Fursa za Ufugaji
    • Fursa za Kilimo
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Ufugaji
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
    • Jarida
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali

Watendaji wa Kata na Vijiji Mnayo Mamlaka Makubwa Mnavaa Kofia Zote za Ulinzi na Usalama Katika Maeneo Yenu

Imewekwa : September 17th, 2019

Watendaji  wa Kata na Vijiji mnavaa kofia zote za vyombo vya Ulinzi na Usalama wa nchi, nyinyi watendaji ni Askari Polisi, Uhamiaji, Usalama wa Taifa na ni askari Jeshi wa ulinzi wetu katika maeneo yenu ya kazi, simamieni majukumu yenu kwa nguvu zote bila kupepesa macho hakuna wa kuwababaisha.

Maneno hayo yalisemwa na Mkuu wa Mkoa wa Kagera Brigedia Jenerali Marco E. Gaguti  Septemba 16, 2019 wakati akizungumza na Watendaji wa Kata na Vijiji katika Halamashauri ya Wilaya ya Missenyi alipokuwa akiwakumbusha wajibu wao wa utendaji wa kazi katika maeneo yao.

Mkuu wa Mkoa Mhe. Gaguti  aliwakumbusha watendaji hao kuwa Serikali ya Awamu ya Tano ni Serikali ya ugatuzi wa madaraka kuwa wanao wajibu wa kuhakikisha suala la ulinzi na usalama linamarishwa na mtu wa kwanza kuwajibika ni Mtendaji wa Kijiji akifuatiwa na Mtendaji wa Kata kuzuia uhamiaji haramu na vitendo vya uvunjifu wa amani.

“Mimi kama Mkuu wa Mkoa sitegemei kupokea kero yoyote katika ofisi yangu ambayo Mtendaji hajashughulika nayo, ninyi mnatakiwa kuhusika na kila jambo la mwananchi hakuna jambo lolote ambalo Mtendaji anatakiwa asilijue katika kijiji chake au Kata yake hata kama ni jambo la kifamilia.” Alisisitiza Mkuu wa Mkoa Gaguti

Pia Mhe. Gaguti aliwakumbusha Watendaji hao kusimamia miradi yote ya maendeleo inayotekelezwa na Serikali ikiwa ni pamoja na kujihusisha na kero za wananchi akitolea mfano wa Vyama vya Msingi katika maeneo yao kuwa wakulima wakati wakihangaika kulipwa fedha zao Watendaji wanakaa pembeni kama jambo hilo haliwahusu kumbe wao wanatakiwa kufanya ufuatiliaji kuhakikisha kila mkulima amelipwa au apewe  majibu sahihi kwanini hajalipwa.

Mwisho Mkuu wa Mkoa Gaguti aliwakumbusha Watendaji hao kutoa utumishi uliotukuka kwa wananchi, kuwapokea, kuwasikiliza na kutatua kero zao tena kwa kuwapa maandishi si maneno tu. Pia aliwakumbusha kuwa wasiwe miungu watu bali wawe watu wa chini kabisa na kutoa huduma iliyotukuka kwa wananchi ili kusukuma gurudumu la maendeleo mbele vile vile Watendaji hao wawe mstari wa mbele katika kukusanya kodi ya Serikali

Katika hatua nyingine Watendaji hao wa Kata na Vijiji walimweleza Mkuu wa Mkoa  kuwa changamoto kubwa kwao ni migogoro ya ardhi kwa maeneo wanayoyaongoza ambapo aliwaelekeza wakae na wahusika na kuimaliza migogoro hiyo na kuwashauri wananchi wanaomiliki ardhi hizo kuzipima ili kuondoa migogoro ya kesho.

Matangazo

  • No records found
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Kamati ya Ushauri ya Mkoa wa Kagera Yaridhia Jimbo la Uchaguzi la Nkenge Kuitwa Jimbo la Uchaguzi Missenyi

    March 17, 2025
  • Mkuu wa Mkoa wa Mwassa Awashukuru Wabunge Kupitisha Fedha za Miradi ya Mapinduzi ya Kiuchumi Kagera

    March 14, 2025
  • Viongozi wa Dini Wahimizwa Kudumisha Mshikamano Ili Kukuza Uchumi wa Mkoa wa Kagera – RC Mwassa

    March 14, 2025
  • TULIPE KODI-RC MWASSA

    October 07, 2023
  • Tazama zote

Video

KAGERA REGION DOCUMENTARY
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Taratibu za biashara ya ndani
  • Barabara Kuu na ndogo za Mkoa
  • Vituo vya Redio Katika Mkoa wa Kagera
  • Wakuu wa Mkoa wa Kagera Tangu Uhuru Mwaka 1961
  • Matokeo ya Darasa la VII 2018, Wanafunzi 10 Bora, Shule 10 Bora, Watakaojiunga Kidato cha I, 2019
  • Kitabu cha Mwongozo wa Uwekezaji Kagera 2019
  • FOMU YA USAJILI WA WAFANYABIASAHARA NA WADAU WA MKOA WA KAGERA, ZIARA YA KUTEMBELEA NCHI ZA AFRIKA MASHARIKI NA KATI KWA LENGO LA KUTAFUTA FURSA ZA BIASHARA NA UWEKEZAJI NOVEMBER, 2019.

Tovuti Mashuhuri

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Takwimu Huria

Wafuatiliaji Kimataifa

world map hits counter

Kaunta ya Wageni

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Kagera

    Anwani: S.L.P 299 BUKOBA

    Simu ya Mezani: 255 28 2220215/17

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras.kagera@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma Zetu
    • Hakimiliki

Haki zote zimehifadhiwa