• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
KAGERA REGIONAL WEBSITE

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na SerikaliI za Mitaa Mkoa wa Kagera

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu/Vitengo
      • Sehemu
        • Usimamizi Ufuatiliaji na Ukaguzi
        • Miundombinu
        • Elimu
          • Elimu ya Msingi
          • Elimu ya Sekondari
          • Elimu ya Watu Wazima
          • Elimu ya Juu
          • Michezo
          • Vijana
        • Afya
          • Afya
          • Ustawi wa Jamii
        • Utawala na Rasilimali Watu
        • Mipango na Uratibu
          • Mipango
          • Takwimu
          • Maendeleo ya Jamii
          • TASAF
        • Uchumi na Uzalishaji
          • Kilimo cha Umwagiliaji
          • Viwanda na Biashara
          • Uvuvi
          • Mifugo
          • Maliasili, Utalii na Mazingira
          • Ushirika
          • Kilimo
        • Uwekezaji Viwanda na Biashara
      • Vitengo
        • TEHAMA
        • Sheria
        • Fedha na Uhasibu
        • Ukaguzi wa Ndani
        • Ugavi
        • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Bukoba
      • Viongozi wa Bukoba
    • Biharamulo
      • Viongozi wa Biharamulo
    • Karagwe
      • Viongozi wa Karagwe
    • Kyerwa
      • Viongozi wa Kyerwa
    • Missenyi
      • Viongozi wa Missenyi
    • Muleba
      • Viongozi wa Muleba
    • Ngara
      • Viongozi wa Ngara
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Manispaa ya Bukoba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Bukoba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Biharamulo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Karagwe
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kyerwa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Misseny
    • Halmashauri ya Wilaya ya Muleba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ngara
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Fursa za Ufugaji
    • Fursa za Kilimo
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Ufugaji
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
    • Jarida
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali

Waziri Dkt. Augustine Mahiga Tanzania na Waziri Sam Kutesa Uganda Wakisaini Makubaliano ya Ushirikiano Kati ya Tanzania na Uganda Mjini Bukoba Mkoani Kagera..

Imewekwa : July 30th, 2017

Tanzania na Uganda Zakubaliana Masuala Makuu Manne ya Ushirikiano Katika Maendeleo na Kutiliana Saini Mkoani Kagera

Hatimaye mkutano wa ujirani mwema kati ya Tanzania na Uganda umemalizika leo Julai 29, 2017 majira ya jioni kwa Mawaziri wa nchi hizo mbili kutiliana saini hati za makubaliano ya utekelezaji wa masuala makuu manne ya ushirikiano katika maendeleo waliyokubaliana kwenye  mkutano huo wa siku moja.

Akitoa Taarifa mara baada ya makubaliano na kutiliana saini katika hati za makubaliano Waziri wa Mambo ya nje wa Uganda Mhe. Sam Kutesa alisema yeye akiongoza jopo la Mawaziri kumi kutoka Uganda pamoja na wataalam wengine wamefurahishwa sana na Mkutano huo kwani umekuwa wa mafanikio kwao.

Aidha Mhe. Kutesa alisema kuwa katika Mkutano huo wamekubaliana masuala makuu manne ambayo yanahusu Kuhakiki mipaka ya kati ya nchi mbili, pili Huduma za maji kutoka Mto Kagera, Tatu Biashara baina ya nchi mbili na nne Kuhusu suala la nishati ya Umeme.

Akitoa ufafanuzi Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano  wa Afrika Mashariki  Dk.Augustine Mahiga alisema kuwa kuhusu Suala la Mipaka wamekubaliana kuongeza alama za mipaka ili mpaka uonekane vyema kati ya nchi mbili ili kuondoa migongano inyoweza kujitokeza maeneo ya mpakani kwasababu mipaka hiyo iliwekwa na Wakoloni miaka mingi iliyopita.

Pili Dkt. Mahiga lifafanua suala la Huduma ya maji katika Mto Kagera na kusema kuwa nchi ya Uganda wanayo matatizo ya maji kwa baadhi ya sehemu mpakani na Tanzania na maji yanapatika Mto Kagera kwa upande wa Tanzania kwa hiyo katika suala hilo Waganda wameomba na kukubaliana na Tanzania kujenga mabwawa  na malambo kwaajili ya kunywesha mifugo yao.

“Suala hilo tumekubaliana lakini taratibu zote za mazingira zitafuatwa ili kusijekukatokea uharibifu wa mazingira na uvujanjaji wa sheria za mazingiara.” Alisistiza Waziri Dkt. Maiga. Kuhusu suala la Biashara Dkt. Maiga alifafanua kuwa wamekualiana kuimarisha biashara kati ya nchi mbili pamoja na kuwa nchi hizo zote zipo katika Jumuiya ya Afrika Mashariki.

Kuhusu Nishati ya Umeme Waziri Dkt. Maiga alisema kuwa mji wa Bukoba unapata umeme kutoka Uganda kwa hiyo Tanzania imekuwa ikipata nishati hiyo toka Uganda lakini kwa sasa Tanzania pia inatarajia kuzalisha umeme wa kutosha ambapo wamekubaliana pia kuwa mara ya umeme huo kuwa umepatikana Tanzania pia itawauzia Umeme Uganda.

Mkutano huo uliofanyika katika Hoteli ya ELCT Bukoba ulihudhuliwa na Mawaziri kutoka Tanzania saba pamoja na wataalam mbalimbali wakiongozwa na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano  wa Afrika Mashariki  Dk.Augustine Mahiga.  Aidha, kwa upande wa nchi ya Uganda uliongozwa na Waziri wa Mambo ya nje Mhe. Sam Kutesa pamoja na Mawaziri kumi wakiambatana na Wataalamu mbalimbali.

Matangazo

  • No records found
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Kamati ya Ushauri ya Mkoa wa Kagera Yaridhia Jimbo la Uchaguzi la Nkenge Kuitwa Jimbo la Uchaguzi Missenyi

    March 17, 2025
  • Mkuu wa Mkoa wa Mwassa Awashukuru Wabunge Kupitisha Fedha za Miradi ya Mapinduzi ya Kiuchumi Kagera

    March 14, 2025
  • Viongozi wa Dini Wahimizwa Kudumisha Mshikamano Ili Kukuza Uchumi wa Mkoa wa Kagera – RC Mwassa

    March 14, 2025
  • TULIPE KODI-RC MWASSA

    October 07, 2023
  • Tazama zote

Video

KAGERA REGION DOCUMENTARY
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Taratibu za biashara ya ndani
  • Barabara Kuu na ndogo za Mkoa
  • Vituo vya Redio Katika Mkoa wa Kagera
  • Wakuu wa Mkoa wa Kagera Tangu Uhuru Mwaka 1961
  • Matokeo ya Darasa la VII 2018, Wanafunzi 10 Bora, Shule 10 Bora, Watakaojiunga Kidato cha I, 2019
  • Kitabu cha Mwongozo wa Uwekezaji Kagera 2019
  • FOMU YA USAJILI WA WAFANYABIASAHARA NA WADAU WA MKOA WA KAGERA, ZIARA YA KUTEMBELEA NCHI ZA AFRIKA MASHARIKI NA KATI KWA LENGO LA KUTAFUTA FURSA ZA BIASHARA NA UWEKEZAJI NOVEMBER, 2019.

Tovuti Mashuhuri

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Takwimu Huria

Wafuatiliaji Kimataifa

world map hits counter

Kaunta ya Wageni

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Kagera

    Anwani: S.L.P 299 BUKOBA

    Simu ya Mezani: 255 28 2220215/17

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras.kagera@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma Zetu
    • Hakimiliki

Haki zote zimehifadhiwa