• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
KAGERA REGIONAL WEBSITE

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na SerikaliI za Mitaa Mkoa wa Kagera

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu/Vitengo
      • Sehemu
        • Usimamizi Ufuatiliaji na Ukaguzi
        • Miundombinu
        • Elimu
          • Elimu ya Msingi
          • Elimu ya Sekondari
          • Elimu ya Watu Wazima
          • Elimu ya Juu
          • Michezo
          • Vijana
        • Afya
          • Afya
          • Ustawi wa Jamii
        • Utawala na Rasilimali Watu
        • Mipango na Uratibu
          • Mipango
          • Takwimu
          • Maendeleo ya Jamii
          • TASAF
        • Uchumi na Uzalishaji
          • Kilimo cha Umwagiliaji
          • Viwanda na Biashara
          • Uvuvi
          • Mifugo
          • Maliasili, Utalii na Mazingira
          • Ushirika
          • Kilimo
        • Uwekezaji Viwanda na Biashara
      • Vitengo
        • TEHAMA
        • Sheria
        • Fedha na Uhasibu
        • Ukaguzi wa Ndani
        • Ugavi
        • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Bukoba
      • Viongozi wa Bukoba
    • Biharamulo
      • Viongozi wa Biharamulo
    • Karagwe
      • Viongozi wa Karagwe
    • Kyerwa
      • Viongozi wa Kyerwa
    • Missenyi
      • Viongozi wa Missenyi
    • Muleba
      • Viongozi wa Muleba
    • Ngara
      • Viongozi wa Ngara
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Manispaa ya Bukoba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Bukoba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Biharamulo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Karagwe
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kyerwa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Misseny
    • Halmashauri ya Wilaya ya Muleba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ngara
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Fursa za Ufugaji
    • Fursa za Kilimo
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Ufugaji
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
    • Jarida
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali

Waziri Harrison Mwakyembe (Kushoto) Akimsikiliza Mkuu wa Mkoa Kagera Mhe. Kijuu Alipowasili Kagera Kuzindia Michezo ya MISETA Kitaifa.

Imewekwa : May 25th, 2018

Mkoa wa Kagera Kuibua Vipaji Kupitia Michezo ya Umiseta Mwaka 2018

  • Waziri Mwakyembe Ahaidi Kutoa Kutoa Fedha za Ukarabati wa Viwanja Kagera

Na Sylvester Rapahel

Mkoa wa Kagera tayari umeanza maandalizi ya kuibua vipaji vipya vya wanafunzi wa shule za Sekondari katika mashindano ya UMISETA ambayo hukutanisha wanafunzi wanamichezo kutoka katika Halmashauri zote za Wilaya na kuunda timu moja ya mkoa kwaajili ya kushiriki mashindano ya UMISETA Kitaifa.

Mkoa wa Kagera ni mkoa unaoaminika kuzalisha vipaji vingi hasa katika michezo ya mpira wa miguu kwa wasichana na wavulana, michezo ya riadha na mchezo wa ngumi pamoja na michezo mingineyo mingi. Kwa mwaka huu 2018 mkoa umejipanga kuhakikisha unatoa ushindani mkubwa katika mashindano ya UMISETA Kitaifa kwa kupeleka timu yenye uwezo na yenye vipaji vyakutosha Jijini Mwanza.

Kutokana na juhudi zinazoendelea kufanyika ili kuhakikisha michezo inarejea katika enzi zake Mkoani Kagera, Serikali kupitia Waziri wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo  Mhe. Harrison Mwakyembe iliupa heshima Mkoa wa Kagera kuwa mkoa mmojawapo kati mikoa mitano kufanya uzinduzi wa michezo ya UMISETA Kitaifa  kwa kushirikiana na Kampuni ya Coca Cola.

Akiwa katika uzinduzi huo Waziri Mwakyembe Mkoani Kagera Mei 12, 2018 alisema kuwa Mkoa wa Kagera unategemewa sana na Taifa kutoa vipaji vingi kupitia michezo ya UMISETA hasa katika timu ya Ngorongoro Heroes na Serengeti Boys kwani Kagera kuna wachezaji wengi wenye vipaji binafsi.

“Nakumbuka sana miaka ya nyuma kidogo Mkoa wa Kagera ulikuwa tishio sana katika mambo ya michezo na tunataka kiukweli mkoa huu uwe hazina yetu ya wachezaji katika michezo yote na ndiyo maana tumeamua kuja kufanya uzinduzi wa UMISETA hapa na kuhamasisha vijana kuonesha vipaji vyao ili wapate ajira kupitia michezo,” Alifafanua Waziri Mwakyembe.

Waziri Mwakyembe pia alisema baada ya Shirikisho la Mpira nchini kukaa vizuri kwa sasa Shirikisho la Mpira Duniani FIFA limekubali kutoa tena fedha za kukarabati viwanja vya michezo nchini baada ya kusitisha kutoa fedha hizo kutoakana  na kutumika vibaya. Aidha, Waziri alisema kuwa Mkoa wa Kagera atauangalia kwa jicho la karibu sana katika mgao wa fedha hizo  ili viwanja vya Kagera vikarabatiwe kuibua vipaji.

Naye Afisa Michezo Mkoa wa Kagera Bw. Kepha Elias akiwa Chuoni cha Ualimu Katoke kwenye kambi ya mkoa ya mashindano ya michezo ya UMISETA alisema kuwa mwaka huu 2018 mkoa wa Kagera lazima uibuke na ushindi kitaifa na kuibua vipaji vingi kwani mfumo wa kupata vipaji hivyo ni mzuri sana ukilinganisha na miaka ya nyuma.

Matangazo

  • No records found
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Kamati ya Ushauri ya Mkoa wa Kagera Yaridhia Jimbo la Uchaguzi la Nkenge Kuitwa Jimbo la Uchaguzi Missenyi

    March 17, 2025
  • Mkuu wa Mkoa wa Mwassa Awashukuru Wabunge Kupitisha Fedha za Miradi ya Mapinduzi ya Kiuchumi Kagera

    March 14, 2025
  • Viongozi wa Dini Wahimizwa Kudumisha Mshikamano Ili Kukuza Uchumi wa Mkoa wa Kagera – RC Mwassa

    March 14, 2025
  • TULIPE KODI-RC MWASSA

    October 07, 2023
  • Tazama zote

Video

KAGERA REGION DOCUMENTARY
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Taratibu za biashara ya ndani
  • Barabara Kuu na ndogo za Mkoa
  • Vituo vya Redio Katika Mkoa wa Kagera
  • Wakuu wa Mkoa wa Kagera Tangu Uhuru Mwaka 1961
  • Matokeo ya Darasa la VII 2018, Wanafunzi 10 Bora, Shule 10 Bora, Watakaojiunga Kidato cha I, 2019
  • Kitabu cha Mwongozo wa Uwekezaji Kagera 2019
  • FOMU YA USAJILI WA WAFANYABIASAHARA NA WADAU WA MKOA WA KAGERA, ZIARA YA KUTEMBELEA NCHI ZA AFRIKA MASHARIKI NA KATI KWA LENGO LA KUTAFUTA FURSA ZA BIASHARA NA UWEKEZAJI NOVEMBER, 2019.

Tovuti Mashuhuri

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Takwimu Huria

Wafuatiliaji Kimataifa

world map hits counter

Kaunta ya Wageni

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Kagera

    Anwani: S.L.P 299 BUKOBA

    Simu ya Mezani: 255 28 2220215/17

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras.kagera@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma Zetu
    • Hakimiliki

Haki zote zimehifadhiwa