• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
KAGERA REGIONAL WEBSITE

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na SerikaliI za Mitaa Mkoa wa Kagera

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu/Vitengo
      • Sehemu
        • Mamlaka za Serikali za Mitaa
        • Miundombinu
        • Elimu
          • Elimu ya Msingi
          • Elimu ya Sekondari
          • Elimu ya Watu Wazima
          • Elimu ya Juu
          • Michezo
          • Vijana
        • Afya
          • Afya
          • Ustawi wa Jamii
        • Utawala na Rasilimali Watu
        • Mipango na Uratibu
          • Mipango
          • Takwimu
          • Maendeleo ya Jamii
          • TASAF
        • Uchumi na Uzalishaji
          • Kilimo cha Umwagiliaji
          • Viwanda na Biashara
          • Uvuvi
          • Mifugo
          • Maliasili, Utalii na Mazingira
          • Ushirika
          • Kilimo
        • Maji
      • Vitengo
        • TEHAMA
        • Sheria
        • Fedha na Uhasibu
        • Ukaguzi wa Ndani
        • Ugavi
        • Kitengo cha Mawasiliano
  • Wilaya
    • Bukoba
      • Viongozi wa Bukoba
    • Biharamulo
      • Viongozi wa Biharamulo
    • Karagwe
      • Viongozi wa Karagwe
    • Kyerwa
      • Viongozi wa Kyerwa
    • Missenyi
      • Viongozi wa Missenyi
    • Muleba
      • Viongozi wa Muleba
    • Ngara
      • Viongozi wa Ngara
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Manispaa ya Bukoba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Bukoba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Biharamulo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Karagwe
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kyerwa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Misseny
    • Halmashauri ya Wilaya ya Muleba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ngara
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Fursa za Ufugaji
    • Fursa za Kilimo
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Ufugaji
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
    • Jarida
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali

Waziri wa Nishati Mhe. Medard Kalemani Akiwasili Mkoani Kagera kwa Ziara ya Siku Moja Katika Wilaya za Karagwe, Kyerwa na Missenyi Juni 10, 2018

Imewekwa : June 12th, 2018

Waziri Kalemani Aiagiza Tanesco Kagera Kutumia Bilioni 6.5 Kuhakikisha Miundombinu Inarekebishwa Kupata Umeme wa Uhakika

Waziri wa Nishati Medard Kalemani asema Mkoa wa Kagera hauna shida ya uhaba wa umeme isipokuwa changamoto kubwa  ni ubovu wa miundombinu ya umeme ambayo inakuwa imechoka au kupata hitilafu kama transifoma kuharibika au nguzo kuoza na kuanguka lakini umeme upo wa kutosha na ziada hasa Kagera.

Waziri Kalemani aliyasema hayo wakati wa ziara yake ya siku moja Mkoani Kagera Juni 10, 2018 alipofika Ofisini kwa Mkuu wa Mkoa kusaini kitabu cha wageni ambapo alimwagiza Meneja waTANESCO Mkoa wa Kagera Francis Maze kuhakikisha anatumia shilingi bilioni 6.5 zilizotengwa Kagera  kwaajili ya  kukarabati wa miundombinu ya umeme na kufikia mwishoni mwa mwezi Juni 2018 miundombnu yote iwe imekarabatiwa.

“Kwa nchi nzima tuna umeme wa ziada megawati 209 isipokuwa changamoto kubwa sasa ni ubovu wa miundombinu kutokana na ukubwa  wa nchi. Katika Mkoa wa Kagera tayari mradi umeme wa  Rusumo ulionza kutekelezwa Februari 2017 unatarajia kukamilika Februari 2020 na utazalisha megawati 80 zitakazogawanywa katika nchi tatu za Rwanda, Burundi na Tanzania na kila nchi itapata Megawati 26 na kuongeza umeme kwetu.” Alifafanua Waziri Kalemani

Aidha,  Waziri Kalemani alisema kuwa tayari Mkoa wa Kagera umeunganishwa na Gridi ya Taifa ya Umeme kwa Wilaya ya Ngara na kufukia mwishoni mwa Mwaka huu 2018 Mkoa mzima utakuwa umeunganishwa na Gridi ya Taifa na umeme kutoka nchini Uganda utabaki kama wa ziada au Mkoa utaamua kuendelea au kutoendelea kutumia umeme huo.

Kuhusu umeme wa REA Waziri Kalemani alisema kuwa ziara yake Mkoani Kagera ililenga kutembelea baadhi ya vijiji katika Wilaya za Karagwe, Kyerwa na Missenyi ambapo miradi ya REA inatekelezwa ili kuona maendeleo ya mradi wa REA awamu ya tatu  na kuona kama kuna changamoto ili ziweze kutatuliwa wananchi wapate umeme bila kucheleweshwa.

Waziri Kalemani alisema kuwa hadi kufikia mwaka 2021 Mkoa wa Kagera utakuwa umebakia na vijiji vichache sana ambavyo vitakuwa havijafikiwa na umeme. Aidha, aliendelea kuwahamasisha wananchi kuchangia shilingi 27,000/= tu na si zaidi ya fedha hizo ili kuwekewa umeme wa REA. Pia aliwataka wananchi kuhakikisha wanailinda miundombinu ya umeme ili kuendelea kupata umeme bila hujuma.

Mwisho Waziri Kalemani  aliuagiza uongozi wa Mkoa wa Kagera kuhakikisha Taasisi zote za umma pamoja na maeneo yote yalipangwa kwaajili ya uwekezaji yanabainishwa na Wakandarasi waelekezwe kufikisha miundombinu ya umeme katika maeneo hayo. Taasisi za umma ni kama Shule, Zahanati, Makanisa, Misikiti, Maeneo yaliyotengwa kwaajili ya viwanda, Vyanzo vya maji vyenye miradi ya maji ya  kutoa huduma ya kwa wananchi.

Matangazo

  • Online Content - inception report for CSA training programme in Kagera region August 19, 2022
  • Kilele cha Mbio za Mwenge wa Uhuru Kuhitimishwa Mkoani Kagera Oktoba 14, 2022 August 23, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Mkoa wa Kagera Wapokea Magari Matano Kusaidi Kufanikisha Zoezi la Sensa ya Watu na Makazi

    August 24, 2022
  • Mkuu wa Mkoa Chamila Akagua Miradi na Kuongea na Makarani Wa Sensa ya Watu na Makazi Kagera

    August 23, 2022
  • Wanakagera Wakumbushwa Kuendelea Kuilinda Amani ya Tanzania Ili Kufikia Miaka 100 ya Uhuru

    December 08, 2021
  • Wanakagera Wakumbushwa Kuendelea Kuilinda Amani ya Tanzania Ili Kufikia Miaka 100 ya Uhuru

    December 08, 2021
  • Tazama zote

Video

Kijue Chuo Kipya cha Kisasa cha Ufundi Stadi VETA Mkoani Kagera Kazi Inaendelea.....
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Taratibu za biashara ya ndani
  • Barabara Kuu na ndogo za Mkoa
  • Vituo vya Redio Katika Mkoa wa Kagera
  • Wakuu wa Mkoa wa Kagera Tangu Uhuru Mwaka 1961
  • Matokeo ya Darasa la VII 2018, Wanafunzi 10 Bora, Shule 10 Bora, Watakaojiunga Kidato cha I, 2019
  • Kitabu cha Mwongozo wa Uwekezaji Kagera 2019
  • FOMU YA USAJILI WA WAFANYABIASAHARA NA WADAU WA MKOA WA KAGERA, ZIARA YA KUTEMBELEA NCHI ZA AFRIKA MASHARIKI NA KATI KWA LENGO LA KUTAFUTA FURSA ZA BIASHARA NA UWEKEZAJI NOVEMBER, 2019.

Tovuti Mashuhuri

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Takwimu Huria

Wafuatiliaji Kimataifa

world map hits counter

Kaunta ya Wageni

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Kagera

    Anwani: S.L.P 299 BUKOBA

    Simu ya Mezani: 255 28 2220215/17

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras.kagera@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma Zetu
    • Hakimiliki

Haki zote zimehifadhiwa