• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
KAGERA REGIONAL WEBSITE

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na SerikaliI za Mitaa Mkoa wa Kagera

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu/Vitengo
      • Sehemu
        • Mamlaka za Serikali za Mitaa
        • Miundombinu
        • Elimu
          • Elimu ya Msingi
          • Elimu ya Sekondari
          • Elimu ya Watu Wazima
          • Elimu ya Juu
          • Michezo
          • Vijana
        • Afya
          • Afya
          • Ustawi wa Jamii
        • Utawala na Rasilimali Watu
        • Mipango na Uratibu
          • Mipango
          • Takwimu
          • Maendeleo ya Jamii
          • TASAF
        • Uchumi na Uzalishaji
          • Kilimo cha Umwagiliaji
          • Viwanda na Biashara
          • Uvuvi
          • Mifugo
          • Maliasili, Utalii na Mazingira
          • Ushirika
          • Kilimo
        • Maji
      • Vitengo
        • TEHAMA
        • Sheria
        • Fedha na Uhasibu
        • Ukaguzi wa Ndani
        • Ugavi
        • Kitengo cha Mawasiliano
  • Wilaya
    • Bukoba
      • Viongozi wa Bukoba
    • Biharamulo
      • Viongozi wa Biharamulo
    • Karagwe
      • Viongozi wa Karagwe
    • Kyerwa
      • Viongozi wa Kyerwa
    • Missenyi
      • Viongozi wa Missenyi
    • Muleba
      • Viongozi wa Muleba
    • Ngara
      • Viongozi wa Ngara
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Manispaa ya Bukoba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Bukoba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Biharamulo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Karagwe
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kyerwa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Misseny
    • Halmashauri ya Wilaya ya Muleba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ngara
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Fursa za Ufugaji
    • Fursa za Kilimo
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Ufugaji
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
    • Jarida
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali

Mti wa Mwembe Ambao Kukua Kwake na Kuanza Kutoa Matunda ni Miaka Mitatu tu.

Imewekwa : February 26th, 2018

World Vision Kagera Waonesha Mfano Wamuunga Mkono Mkuu Wa Mkoa wa Kagera Katika Kampeini Yake ya Kupanda Miti ya Matunda

Shirika lisilo kuwa la Serikali World Vision Tanzania Kanda ya Kagera limemuunga Mkono Mkuu wa Mkoa wa Kagera katika Kampeini yake ya kupanda miti ya matunda katika Mkoa wa Kagera ili kuondoa tatizo la udaumavu, utapiamulo na  kwashakoo kwa wananchi wa Kagera hasa watoto.

Shirika la World Vision Kanda ya Kagera limeto kwa Mkuu wa Mkoa wa Kagera Miche 200 ya miti ya matunda aina mbalimbali yenye thamani ya shilingi milioni 2,000,000/= na Mkuu wa Mkoa wa Kagera aliikabidhi miche hiyo kwa Taasisi za Shule katika Manispaa ya Bukoba ili ikapandwe kwenye mazingira ya Taasisi hizo.

Akikabidhi miche ya matunda Meneja wa World Vision Tanzania Kanda ya Kagera  Bibi Juliana Charles alisema wameamua kummunga mkono Mkuu wa Mkoa katika juhudi zake za kuhakikisha miti ya matunda inapandwa na matunda yanapatikana kwa wingi ili kuhamasisha wananchi kula matunda na kupunguza udumavu, utapiamulo na kwashakoo hasa kwa watoto.

Naye Mkuu wa Mkoa wa Kagera Meja Jenerali Mstaafu Salum Kijuu akipokea miche hiyo alilishukuru shirika la World Vision Tanzania Kanda ya Kagera kwa kutoa misaada ya mara kwa mara na kushirikiana na Serikali  katika shughuli mbalimbali za kuondoa umasikini na kuleta maendeleo kwa wananchi wa Mkoa wa Kagera.

“World Vision wamekuwa wa msaada kwa Mkoa wetu wa Kagera, nakumbuka  wakati wa Tetemeko Shirika hili lilikuwa mstari wa mbele katika kuhakikisha hali za wananchi zinarejeshwa haraka sana, pia kampeini hii niliizindua tarehe 26 Januari, 2018 lakini unaweza kuona sasa tayari wameitikia wito na kuniunga mkono nawashukuru sana,” Alishukuru Mhe. Kijuu

Aidha, Mkuu wa Mkoa Mhe. Kijuu alitoa wito kwa Taasisi za Serikali na zisizokuwa za Serikali kumuunga mkono katika kampeini ya kupanda miti ya matunda  ambapo alisema kuwa miche ya miti ya matunda ina gharama kubwa kidogo kwani kila mche mmoja  unauzwa kwa gharama ya shilingi 10,000/= jambo ambalo mwananchi wa kawaida yawezekana asimudu gharama ya kununua lakini Taasisi zikijitolea wananchi wanaweza kugawiwa miche hiyo bure na wakaipanda.

 Tayari Mkuu wa Mkoa ameagiza kila mwananchi kupanda miche mitano ya matunda katika eneo lake pia na Taasisi zote zihakikishe zinapanda miche ya matunda katika maeneo yao. World Vision Tanzania Kanda ya Kagera wamekabidhi miche ya matunda  200 Mkuu wa Mkoa wa Kagera Februari 26, 2018

Matangazo

  • Online Content - inception report for CSA training programme in Kagera region August 19, 2022
  • Kilele cha Mbio za Mwenge wa Uhuru Kuhitimishwa Mkoani Kagera Oktoba 14, 2022 August 23, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Mkoa wa Kagera Wapokea Magari Matano Kusaidi Kufanikisha Zoezi la Sensa ya Watu na Makazi

    August 24, 2022
  • Mkuu wa Mkoa Chamila Akagua Miradi na Kuongea na Makarani Wa Sensa ya Watu na Makazi Kagera

    August 23, 2022
  • Wanakagera Wakumbushwa Kuendelea Kuilinda Amani ya Tanzania Ili Kufikia Miaka 100 ya Uhuru

    December 08, 2021
  • Wanakagera Wakumbushwa Kuendelea Kuilinda Amani ya Tanzania Ili Kufikia Miaka 100 ya Uhuru

    December 08, 2021
  • Tazama zote

Video

Kijue Chuo Kipya cha Kisasa cha Ufundi Stadi VETA Mkoani Kagera Kazi Inaendelea.....
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Taratibu za biashara ya ndani
  • Barabara Kuu na ndogo za Mkoa
  • Vituo vya Redio Katika Mkoa wa Kagera
  • Wakuu wa Mkoa wa Kagera Tangu Uhuru Mwaka 1961
  • Matokeo ya Darasa la VII 2018, Wanafunzi 10 Bora, Shule 10 Bora, Watakaojiunga Kidato cha I, 2019
  • Kitabu cha Mwongozo wa Uwekezaji Kagera 2019
  • FOMU YA USAJILI WA WAFANYABIASAHARA NA WADAU WA MKOA WA KAGERA, ZIARA YA KUTEMBELEA NCHI ZA AFRIKA MASHARIKI NA KATI KWA LENGO LA KUTAFUTA FURSA ZA BIASHARA NA UWEKEZAJI NOVEMBER, 2019.

Tovuti Mashuhuri

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Takwimu Huria

Wafuatiliaji Kimataifa

world map hits counter

Kaunta ya Wageni

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Kagera

    Anwani: S.L.P 299 BUKOBA

    Simu ya Mezani: 255 28 2220215/17

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras.kagera@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma Zetu
    • Hakimiliki

Haki zote zimehifadhiwa