• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
KAGERA REGIONAL WEBSITE

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na SerikaliI za Mitaa Mkoa wa Kagera

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu/Vitengo
      • Sehemu
        • Mamlaka za Serikali za Mitaa
        • Miundombinu
        • Elimu
          • Elimu ya Msingi
          • Elimu ya Sekondari
          • Elimu ya Watu Wazima
          • Elimu ya Juu
          • Michezo
          • Vijana
        • Afya
          • Afya
          • Ustawi wa Jamii
        • Utawala na Rasilimali Watu
        • Mipango na Uratibu
          • Mipango
          • Takwimu
          • Maendeleo ya Jamii
          • TASAF
        • Uchumi na Uzalishaji
          • Kilimo cha Umwagiliaji
          • Viwanda na Biashara
          • Uvuvi
          • Mifugo
          • Maliasili, Utalii na Mazingira
          • Ushirika
          • Kilimo
        • Maji
      • Vitengo
        • TEHAMA
        • Sheria
        • Fedha na Uhasibu
        • Ukaguzi wa Ndani
        • Ugavi
        • Kitengo cha Mawasiliano
  • Wilaya
    • Bukoba
      • Viongozi wa Bukoba
    • Biharamulo
      • Viongozi wa Biharamulo
    • Karagwe
      • Viongozi wa Karagwe
    • Kyerwa
      • Viongozi wa Kyerwa
    • Missenyi
      • Viongozi wa Missenyi
    • Muleba
      • Viongozi wa Muleba
    • Ngara
      • Viongozi wa Ngara
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Manispaa ya Bukoba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Bukoba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Biharamulo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Karagwe
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kyerwa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Misseny
    • Halmashauri ya Wilaya ya Muleba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ngara
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Fursa za Ufugaji
    • Fursa za Kilimo
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Ufugaji
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
    • Jarida
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali

Ziara ya Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Prof. Makame Mbalawa Kagera Machi 24, 2017

Imewekwa : March 24th, 2017

Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Prof. Makame Mbalawa amewasili Mkoani Kagera kwa ziara ya siku tatu kuanzia tarehe 24 hadi 26  Machi, 2017 ambapo lengo la ziara yake likiwa ni kutembelea na kukagua Idara na Sekta zilizopo chini ya Wizara  yake aidha, kukagua miundombinu na kuongea na watumishi katika idara na Sekta hizo juu ya mafanikio yaliyofikiwa na kutatua changamoto mbalimbali katika uboreshaji wa huduma.

Professa Mbalawa mara baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa Bukoba alikagua uwanja huo na aliridhishwa na utendaji katika uwanja huo ambapo alisema kuwa kwasasa  kuna mafanikio makubwa na kazi inafanyika kwa ufanisi mkubwa mara baada ya ujenzi wake kukamilika.

Pamoja na Professa Mbalawa kupongeza ufanisi wa kazi katika Uwanja wa Ndege wa Bukoba aidha , Meneja wa uwanja huo Bi Dorice Uhagile katika taarifa yake kwa Waziri huyo  alibainisha changamoto kubwa mbili ambazo ni uwanja huo kutokuwa na kituo cha kuongozea ndege (Contro Tower) . Pili ni Jengo la Watu Mashuhuri (VIP) kujengwa katika jengo la juu ghorofani badala ya majengo ya chini.

Akijibu changamoto hizo Professa Mbalawa alisema changamoto ambayo ataipa kipaumbele na kuishughulikia kwa haraka ni kuona uwezekano wa kujenga kituo cha  kuongozea ndege kutokana na hali ya hewa ya Bukoba ili kulinda usalaama wa abiria wanaosafiri mara kwa mara kwa kutumia usafiri huo wa  ndege.

Pia Professa Mbalawa alisema kuwa pamoja na changamoto hizo lakini yeye mwenyewe alijionea  changamoto nyingine ambayo ni Shule ya Msingi Tumaini ambayo imejengwa karibu na uwanja huo jambo ambalo linahatarisha maisha ya wanafunzi pia na ndege wakati wa kuruka au kutua. Alisema kuwa uwanja huo una urefu wa kilometa 1.5 lakini unatakiwa kungezwa urefu kidogo  kwajili ya usalama (buffer zone). Shule hiyo tayari inajengwa sehemu nyingine ili kupisha uwanja huo.

Katika hatua nyingine Professa Mbalawa alisema katika ziara yake atatembelea Bandari ya Bukoba na Kemondo ili kujionea miundombinu ya Bandari hizo. “Serikali ina mpango wa kununua meli ya kisasa ambayo itakuwa inatumika katika Ziwa Victoria kutoka Mwanza kuja Bukoba lakini lazima nijue kwanza miundombinu ya Bandari zetu isijekutokea kuwa Meli hiyo imefikishwa hapa halafu ikashindwa kufanya kazi kutokana na kutoendana na miundombinu ya bandari zetu kama kina cha maji au maegesho ya meli hiyo.” Alisistiza Professa Mbalawa

Tayari Waziri huyo wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Professa Mbalawa ametembelea Uwanja wa Ndege wa Bukoba, TTCL, TEMESA na Shirika la Posta Kagera . Aidha atatembelea na kukagua Barabara ya Kyaka Bugene na Kivuko cha Kyenyabasa Wilayani Bukoba pia ataongea na wananchi ili kupata mrejesho wa huduma zinazotolewa na Wizara yake.

Matangazo

  • Online Content - inception report for CSA training programme in Kagera region August 19, 2022
  • Kilele cha Mbio za Mwenge wa Uhuru Kuhitimishwa Mkoani Kagera Oktoba 14, 2022 August 23, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Mkoa wa Kagera Wapokea Magari Matano Kusaidi Kufanikisha Zoezi la Sensa ya Watu na Makazi

    August 24, 2022
  • Mkuu wa Mkoa Chamila Akagua Miradi na Kuongea na Makarani Wa Sensa ya Watu na Makazi Kagera

    August 23, 2022
  • Wanakagera Wakumbushwa Kuendelea Kuilinda Amani ya Tanzania Ili Kufikia Miaka 100 ya Uhuru

    December 08, 2021
  • Wanakagera Wakumbushwa Kuendelea Kuilinda Amani ya Tanzania Ili Kufikia Miaka 100 ya Uhuru

    December 08, 2021
  • Tazama zote

Video

Kijue Chuo Kipya cha Kisasa cha Ufundi Stadi VETA Mkoani Kagera Kazi Inaendelea.....
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Taratibu za biashara ya ndani
  • Barabara Kuu na ndogo za Mkoa
  • Vituo vya Redio Katika Mkoa wa Kagera
  • Wakuu wa Mkoa wa Kagera Tangu Uhuru Mwaka 1961
  • Matokeo ya Darasa la VII 2018, Wanafunzi 10 Bora, Shule 10 Bora, Watakaojiunga Kidato cha I, 2019
  • Kitabu cha Mwongozo wa Uwekezaji Kagera 2019
  • FOMU YA USAJILI WA WAFANYABIASAHARA NA WADAU WA MKOA WA KAGERA, ZIARA YA KUTEMBELEA NCHI ZA AFRIKA MASHARIKI NA KATI KWA LENGO LA KUTAFUTA FURSA ZA BIASHARA NA UWEKEZAJI NOVEMBER, 2019.

Tovuti Mashuhuri

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Takwimu Huria

Wafuatiliaji Kimataifa

world map hits counter

Kaunta ya Wageni

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Kagera

    Anwani: S.L.P 299 BUKOBA

    Simu ya Mezani: 255 28 2220215/17

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras.kagera@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma Zetu
    • Hakimiliki

Haki zote zimehifadhiwa