• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
KAGERA REGIONAL WEBSITE

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na SerikaliI za Mitaa Mkoa wa Kagera

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu/Vitengo
      • Sehemu
        • Mamlaka za Serikali za Mitaa
        • Miundombinu
        • Elimu
          • Elimu ya Msingi
          • Elimu ya Sekondari
          • Elimu ya Watu Wazima
          • Elimu ya Juu
          • Michezo
          • Vijana
        • Afya
          • Afya
          • Ustawi wa Jamii
        • Utawala na Rasilimali Watu
        • Mipango na Uratibu
          • Mipango
          • Takwimu
          • Maendeleo ya Jamii
          • TASAF
        • Uchumi na Uzalishaji
          • Kilimo cha Umwagiliaji
          • Viwanda na Biashara
          • Uvuvi
          • Mifugo
          • Maliasili, Utalii na Mazingira
          • Ushirika
          • Kilimo
        • Maji
      • Vitengo
        • TEHAMA
        • Sheria
        • Fedha na Uhasibu
        • Ukaguzi wa Ndani
        • Ugavi
        • Kitengo cha Mawasiliano
  • Wilaya
    • Bukoba
      • Viongozi wa Bukoba
    • Biharamulo
      • Viongozi wa Biharamulo
    • Karagwe
      • Viongozi wa Karagwe
    • Kyerwa
      • Viongozi wa Kyerwa
    • Missenyi
      • Viongozi wa Missenyi
    • Muleba
      • Viongozi wa Muleba
    • Ngara
      • Viongozi wa Ngara
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Manispaa ya Bukoba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Bukoba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Biharamulo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Karagwe
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kyerwa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Misseny
    • Halmashauri ya Wilaya ya Muleba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ngara
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Fursa za Ufugaji
    • Fursa za Kilimo
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Ufugaji
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
    • Jarida
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali

Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Kagera Yazindua Duka la Dawa kwa Ajili ya Huduma ya Wananchi

Imewekwa : August 18th, 2017

Mkuu wa Mkoa wa Kagera Azindua Duka la Dawa Katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Kagera Agosti 17, 2017

  • Bodi ya Nne ya Ushauri ya Hospitali ya Rufaa ya Mkoa  Yazinduliwa na Kukabidhiwa Majukumu Yake.
  • Madaktari Bingwa wa Magonjwa yote Kuwasili Mkoani Kagera Septemba 18, 2017

Serikali Mkoani Kagera katika kusogeza huduma za jamii karibu na wananchi imeanzisha na kuzindua duka la dawa katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Kagera ili kuwahudumia wananchi waliokuwa wanaangaika kutafuta dawa nje ya Hospitali hiyo ambazo zilikuwa hazipatikani katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa.

Akizindua duka hilo Mkuu wa Mkoa wa Kagera Meja Jenerali Mstaafu Salum M.Kijuu Agosti 17, 2017 alitoa  wito kwa viongozi wa Hospitali hiyo kuhakikisha duka hilo linaendeshwa kwa utaratibu mzuri na  huduma nzuri zaidi. Aidha, kuhakikisha dawa zote za msingi zinapatikana na duka linatoa huduma masaa 24 kila siku.

Pia Mkuu wa Mkoa Kijuu aliusisitiza uongozi wa Hospitali hiyo kuwa na lengo la kupanua duka hilo ili litoe huduma kwa Zahanati na vituo vya afya katika Mkoa mzima. Yaani badala ya vituo hivyo kwenda kununua dawa, zinazokosekana Bohari ya Dawa (MSD), kwa maduka binafsi waje wanunue dawa hizo katika duka hilo.

Akitoa ufafanuzi Mganga Mkuu wa Mkoa Dk. Thomas Rutachunzibwa alisema kuwa hospitali ya Rufaa ya Mkoa itaendelea kutoa huduma ya dawa katika dirisha lake la kawaida isipokuwa dawa ambazo zitakosekana katika dirisha la kawaida ndizo zitakuwa zinapatikana katika duka hilo kwa bei nafuu sana lakini siyo kwamba zitakuwa zinatolewa bure.

Duka hilo lilianza kufanyakazi tangu tarehe 01 Agosti, 2017 kama sehemu ya maandalizi na majaribio na kwa kipindi hicho, idadi ya wagonjwa wanufaika wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya kwenda nje ya Hospitali hiyo kupata dawa imepungua. Duka hilo lilifanyiwa ukarabati kwa gharama ya shilingi milioni 22 na tayari dawa za kiasi cha shilingi milioni 30 zimenunuliwa kwa ajili ya huduma.

Katika hatua nyingine Mkuu wa Mkoa wa Kagera Mhe. Kijuu alizindua Bodi ya Nne ya Ushauri ya Hospitali ya Rufaa ya Mkoa baada ya Bodi iliyokuwepo kumaliza muda wake ambapo Mwenyekiti wa Bodi hiyo mpya ni Mzee Pius Ngeze ambaye ataongoza Bodi hiyo yenye wajumbe 15 kwa miaka mitatu.

Kwa kuboresha huduma na kuzisogeza karibu na wananchi Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Kagera inatarajia kuwaleta Madaktari Bingwa wa Magonjwa yote kuanzia tarehe 18 Septemba 2017 ambapo gharama za kuwaona Madaktari hao zitakuwa ni shilingi 5,000/= tu badala ya 25,000/= za kuwaona Madaktari bingwa katika Hospitali binafsi.

Akifafanua huduma hizo Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Dk. John Mwombeki Alisema wananchi watakaofanyiwa vipimo na kubainika kuwa watafanyiwa upasuaji watachangia gharama ya shilingi 30,000/= badala ya zaidi ya shilingi 500,000/= katika Hospitali binafsi. Huduma hizo hapo baadae zitalenga kufikishwa katika Halmashauri za Wilaya ili kuwafikia wananchi nwaliowengi zaidi vijijini.

Matangazo

  • Online Content - inception report for CSA training programme in Kagera region August 19, 2022
  • Kilele cha Mbio za Mwenge wa Uhuru Kuhitimishwa Mkoani Kagera Oktoba 14, 2022 August 23, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Mkoa wa Kagera Wapokea Magari Matano Kusaidi Kufanikisha Zoezi la Sensa ya Watu na Makazi

    August 24, 2022
  • Mkuu wa Mkoa Chamila Akagua Miradi na Kuongea na Makarani Wa Sensa ya Watu na Makazi Kagera

    August 23, 2022
  • Wanakagera Wakumbushwa Kuendelea Kuilinda Amani ya Tanzania Ili Kufikia Miaka 100 ya Uhuru

    December 08, 2021
  • Wanakagera Wakumbushwa Kuendelea Kuilinda Amani ya Tanzania Ili Kufikia Miaka 100 ya Uhuru

    December 08, 2021
  • Tazama zote

Video

Kijue Chuo Kipya cha Kisasa cha Ufundi Stadi VETA Mkoani Kagera Kazi Inaendelea.....
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Taratibu za biashara ya ndani
  • Barabara Kuu na ndogo za Mkoa
  • Vituo vya Redio Katika Mkoa wa Kagera
  • Wakuu wa Mkoa wa Kagera Tangu Uhuru Mwaka 1961
  • Matokeo ya Darasa la VII 2018, Wanafunzi 10 Bora, Shule 10 Bora, Watakaojiunga Kidato cha I, 2019
  • Kitabu cha Mwongozo wa Uwekezaji Kagera 2019
  • FOMU YA USAJILI WA WAFANYABIASAHARA NA WADAU WA MKOA WA KAGERA, ZIARA YA KUTEMBELEA NCHI ZA AFRIKA MASHARIKI NA KATI KWA LENGO LA KUTAFUTA FURSA ZA BIASHARA NA UWEKEZAJI NOVEMBER, 2019.

Tovuti Mashuhuri

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Takwimu Huria

Wafuatiliaji Kimataifa

world map hits counter

Kaunta ya Wageni

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Kagera

    Anwani: S.L.P 299 BUKOBA

    Simu ya Mezani: 255 28 2220215/17

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras.kagera@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma Zetu
    • Hakimiliki

Haki zote zimehifadhiwa