• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
KAGERA REGIONAL WEBSITE

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na SerikaliI za Mitaa Mkoa wa Kagera

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu/Vitengo
      • Sehemu
        • Mamlaka za Serikali za Mitaa
        • Miundombinu
        • Elimu
          • Elimu ya Msingi
          • Elimu ya Sekondari
          • Elimu ya Watu Wazima
          • Elimu ya Juu
          • Michezo
          • Vijana
        • Afya
          • Afya
          • Ustawi wa Jamii
        • Utawala na Rasilimali Watu
        • Mipango na Uratibu
          • Mipango
          • Takwimu
          • Maendeleo ya Jamii
          • TASAF
        • Uchumi na Uzalishaji
          • Kilimo cha Umwagiliaji
          • Viwanda na Biashara
          • Uvuvi
          • Mifugo
          • Maliasili, Utalii na Mazingira
          • Ushirika
          • Kilimo
        • Maji
      • Vitengo
        • TEHAMA
        • Sheria
        • Fedha na Uhasibu
        • Ukaguzi wa Ndani
        • Ugavi
        • Kitengo cha Mawasiliano
  • Wilaya
    • Bukoba
      • Viongozi wa Bukoba
    • Biharamulo
      • Viongozi wa Biharamulo
    • Karagwe
      • Viongozi wa Karagwe
    • Kyerwa
      • Viongozi wa Kyerwa
    • Missenyi
      • Viongozi wa Missenyi
    • Muleba
      • Viongozi wa Muleba
    • Ngara
      • Viongozi wa Ngara
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Manispaa ya Bukoba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Bukoba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Biharamulo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Karagwe
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kyerwa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Misseny
    • Halmashauri ya Wilaya ya Muleba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ngara
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Fursa za Ufugaji
    • Fursa za Kilimo
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Ufugaji
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
    • Jarida
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali

Kikao cha Kamati ya Ushauri ya Mkoa Kikiendelea Katika Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa kagera

Imewekwa : March 9th, 2018

Wananchi Waagizwa Kuwa na Ekari Moja na Zao la Chakula na Biashara na Kula Matunda Kuondoa Udumavu na Utapiamlo Mkoani Kagera

Wananchi Mkoani Kagera waagizwa kila mmoja kulima  ekari moja ya zao la chakula na zao la biashara ili kuhakikisha kuwa kila familia inakuwa na chakula chakutosha pia inakuwa na zao la biashara ili kila mwananchi aweze kujiingizia kipato kuondokana na umasikini.

Agizo hilo limetolewa na Mkuu wa Mkoa wa Kagera Meja Jenerali Mstaafu Salum M. Kijuu katika kikao cha Kamati ya Ushauri ya Mkoa (RCC) ambapo aliwaagiza Wakuu wa Wilaya wote wa Mkoa wa Kagera kuhakikisha wanasimamia agizo hilo katika Wilaya zao ili mkoa uzalishe chakula cha kutosha.

Mkuu wa Mkoa Kijuu katika kuhakikisha agizo lake linatekelezwa aliwasistiza Wakuu wa Wilaya kuhakikisha wanawasimamia watendaji walioko chini yao kuorodhesha kila mwananchi  mwenye uwezo wa kufanya kazi kwenye kaya ili ajulikane na kuonesha shamba lake la zao la chakula na biashara.

“Mkoa huu hautakiwi kuwa na umasikini kwasababu una hali nzuri ya hewa, misimu miwili ya mvua,  una ardhi yenye rutuba  na ya kutosha  kwa kilimo. Hakuna haja ya vijana kukimbili katika shughuli za bodaboda wakati kuna fursa ya kilimo, lazima tulisimamie hili kwa nguvu zote.” Alisistiza Mhe. Kijuu.

Aidha, Mhe. Kijuu alibainisha kuwa Mkoa wa Kagera kuna matunda mengi lakini wananchi  hawana tabia ya kula matunda na kupelekea watoto wengi kuwa na utapiamlo na udumavu ambapo alisisitiza juu ya Kampeini yake ya kupanda miche ya miti ya matunda na kila kaya kupanda miti mitano ya matunda na kuitunza.

Mwaka 2017/2018 Mkoa wa Kagera umeweka lengo la kuzalisha  tani 3,876,000 za mazao ya nafaka hadi kufikia mwezi Februari, 2018 mkoa tayari umezalisha tani 2,551,000 sawa na asilimia (65%) ya lengo la uzalishaji wa mazao ya nafaka.

Katika hatua nyingine kikao hicho cha Ushauri cha Mkoa wa Kagera kimeridhia na kuidhinisha kiasi cha shilingi 387,774,822,000/= kwa ajili ya miradi ya maendeleo na matumizi ya kawaida kwa mwaka wa fedha 2018/2018 ambapo matumizi ya kawaida zitatumika shilingi 294,664,409,000/=

Mishahara shilingi 274,351,117,000/= na matumizi mengineyo shilingi 20,313,292,000/=, shilingi 66,794,398,000/= ni kwaajili ya kutekeleza miradi ya maendeleo, na shilingi 17,316,015,000/= zitakusanywa kutoka vyanzo mbalimbali vya ndani ya mkoa  kwajili ya kugharimia shughuli za maendeleo na za kawaida

Matangazo

  • Online Content - inception report for CSA training programme in Kagera region August 19, 2022
  • Kilele cha Mbio za Mwenge wa Uhuru Kuhitimishwa Mkoani Kagera Oktoba 14, 2022 August 23, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Mkoa wa Kagera Wapokea Magari Matano Kusaidi Kufanikisha Zoezi la Sensa ya Watu na Makazi

    August 24, 2022
  • Mkuu wa Mkoa Chamila Akagua Miradi na Kuongea na Makarani Wa Sensa ya Watu na Makazi Kagera

    August 23, 2022
  • Wanakagera Wakumbushwa Kuendelea Kuilinda Amani ya Tanzania Ili Kufikia Miaka 100 ya Uhuru

    December 08, 2021
  • Wanakagera Wakumbushwa Kuendelea Kuilinda Amani ya Tanzania Ili Kufikia Miaka 100 ya Uhuru

    December 08, 2021
  • Tazama zote

Video

Kijue Chuo Kipya cha Kisasa cha Ufundi Stadi VETA Mkoani Kagera Kazi Inaendelea.....
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Taratibu za biashara ya ndani
  • Barabara Kuu na ndogo za Mkoa
  • Vituo vya Redio Katika Mkoa wa Kagera
  • Wakuu wa Mkoa wa Kagera Tangu Uhuru Mwaka 1961
  • Matokeo ya Darasa la VII 2018, Wanafunzi 10 Bora, Shule 10 Bora, Watakaojiunga Kidato cha I, 2019
  • Kitabu cha Mwongozo wa Uwekezaji Kagera 2019
  • FOMU YA USAJILI WA WAFANYABIASAHARA NA WADAU WA MKOA WA KAGERA, ZIARA YA KUTEMBELEA NCHI ZA AFRIKA MASHARIKI NA KATI KWA LENGO LA KUTAFUTA FURSA ZA BIASHARA NA UWEKEZAJI NOVEMBER, 2019.

Tovuti Mashuhuri

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Takwimu Huria

Wafuatiliaji Kimataifa

world map hits counter

Kaunta ya Wageni

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Kagera

    Anwani: S.L.P 299 BUKOBA

    Simu ya Mezani: 255 28 2220215/17

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras.kagera@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma Zetu
    • Hakimiliki

Haki zote zimehifadhiwa