• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
KAGERA REGIONAL WEBSITE

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na SerikaliI za Mitaa Mkoa wa Kagera

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu/Vitengo
      • Sehemu
        • Usimamizi Ufuatiliaji na Ukaguzi
        • Miundombinu
        • Elimu
          • Elimu ya Msingi
          • Elimu ya Sekondari
          • Elimu ya Watu Wazima
          • Elimu ya Juu
          • Michezo
          • Vijana
        • Afya
          • Afya
          • Ustawi wa Jamii
        • Utawala na Rasilimali Watu
        • Mipango na Uratibu
          • Mipango
          • Takwimu
          • Maendeleo ya Jamii
          • TASAF
        • Uchumi na Uzalishaji
          • Kilimo cha Umwagiliaji
          • Viwanda na Biashara
          • Uvuvi
          • Mifugo
          • Maliasili, Utalii na Mazingira
          • Ushirika
          • Kilimo
        • Uwekezaji Viwanda na Biashara
      • Vitengo
        • TEHAMA
        • Sheria
        • Fedha na Uhasibu
        • Ukaguzi wa Ndani
        • Ugavi
        • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Bukoba
      • Viongozi wa Bukoba
    • Biharamulo
      • Viongozi wa Biharamulo
    • Karagwe
      • Viongozi wa Karagwe
    • Kyerwa
      • Viongozi wa Kyerwa
    • Missenyi
      • Viongozi wa Missenyi
    • Muleba
      • Viongozi wa Muleba
    • Ngara
      • Viongozi wa Ngara
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Manispaa ya Bukoba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Bukoba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Biharamulo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Karagwe
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kyerwa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Misseny
    • Halmashauri ya Wilaya ya Muleba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ngara
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Fursa za Ufugaji
    • Fursa za Kilimo
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Ufugaji
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
    • Jarida
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali

Mwenge wa Uhuru Ukikimbizwa KatikaHalmashauri ya Manispaa ya Bukoba

Imewekwa : April 9th, 2018

Mwenge wa Uhuru Waendelea na Mbio Zake Mkoani Kagera na Kupitia Miradi Yenye Thamani ya Shilingi Bilioni Mbili

Katika siku yake ya pili Mkoani Kagera Mwenge wa Uhuru umeendelea na mbio zake katika Halmashauri ya Manispaa ya Bukoba ukikabidhiwa kutoka Wilayani Muleba ambapo katika Manispaa ya Bukoba Mwenge huo uliweza kutembelea, kukagua, kuweka mawe ya msingi na kuzindua jumla ya miradi 13 yenye thamani ya shilingi bilioni 2,185,500,120.

Kati ya miradi hiyo 13 miradi 5 ilizinduliwa, mradi mmoja uliwekewa jiwe la msingi, mradi mmoja ulifunguliwa, miradi mitatu ilikaguliwa, mradi mmoja wa kupambana na dawa za kulevya na miradi miwili ya kugawa vitambulisho vya matibabu kwa wazee. Aidha katika miradi hiyo 13 miradi miwili izinduliwa na mwenge wa uhuru mwaka 2017 na mwaka huu Mwenge ulipita kuona uendelevu wa miradi hiyo

Kati ya midai hiyo 13 ya Manispaa ya bukoba katika upande wa idara ya Afya ulizinduliwa mradi jengo la kutolea huduma za wagonjwa wanaoishi na Virusi vya UKIMWI CTC katika Zahanati ya Buhembe Kata Buhembe, jengo hilo limejengwa na kukamilika pamoja na kuwekewa samani za ndani kwa gharama ya shilingi 83,626,600/=

Mara baada ya kuzindua Jengo hilo Kiongozi wa mbio za Mwenge Kitaifa mwaka 2018 Charles F. Kabeho aliwasisitiza wananchi wanaoishi na Virusi vya UKIMWI kujitokeza kupata huduma ya matibabu mara baada ya jengo hilo kukamilika. Aidha, Kiongozi huyo aliwasisstiza wananchi kutowanyanyapaa watu waishio na Virusi vya UKIMWI kwani unyanyapaa unamsababishia mgonjwa kukata tamaa ya kuishi.

Katika shilingi bilioni 2,185,500,120 ghrama za miradi iliyopitiwa na Mwenge wa Uhuru Katika Manispaa ya Bukoba wananchi walichangia shilingi 762,758,000/=, Halmashauri ya Manispaa ya Bukoba ilichangia shilingi 24,395,500/=, Serikali Kuu shilingi 331,330,020/= na Washirika wa Maendeleo wa Manispaa ya Bukoba shilingi bilioni 1,067,016,600/=

Miradi 13 iliyopitiwa na Mwenge wa Uhuru katika Manispaa ya Bukoba miradi 11 ni kati ya jumla ya miradi 65 ya maendeleo itakayopitiwa na Mwenge wa Uhuru mkoani Kagera na miradi miwili ni kati ya miradi 15 ya maendeleo ya mwaka jana 2017  itakakayopitiwa na Mwenge wa Uhuru kuona uendelevu wake kwa kutoa huduma kwa wamnanchi.

Matangazo

  • No records found
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Kamati ya Ushauri ya Mkoa wa Kagera Yaridhia Jimbo la Uchaguzi la Nkenge Kuitwa Jimbo la Uchaguzi Missenyi

    March 17, 2025
  • Mkuu wa Mkoa wa Mwassa Awashukuru Wabunge Kupitisha Fedha za Miradi ya Mapinduzi ya Kiuchumi Kagera

    March 14, 2025
  • Viongozi wa Dini Wahimizwa Kudumisha Mshikamano Ili Kukuza Uchumi wa Mkoa wa Kagera – RC Mwassa

    March 14, 2025
  • TULIPE KODI-RC MWASSA

    October 07, 2023
  • Tazama zote

Video

KAGERA REGION DOCUMENTARY
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Taratibu za biashara ya ndani
  • Barabara Kuu na ndogo za Mkoa
  • Vituo vya Redio Katika Mkoa wa Kagera
  • Wakuu wa Mkoa wa Kagera Tangu Uhuru Mwaka 1961
  • Matokeo ya Darasa la VII 2018, Wanafunzi 10 Bora, Shule 10 Bora, Watakaojiunga Kidato cha I, 2019
  • Kitabu cha Mwongozo wa Uwekezaji Kagera 2019
  • FOMU YA USAJILI WA WAFANYABIASAHARA NA WADAU WA MKOA WA KAGERA, ZIARA YA KUTEMBELEA NCHI ZA AFRIKA MASHARIKI NA KATI KWA LENGO LA KUTAFUTA FURSA ZA BIASHARA NA UWEKEZAJI NOVEMBER, 2019.

Tovuti Mashuhuri

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Takwimu Huria

Wafuatiliaji Kimataifa

world map hits counter

Kaunta ya Wageni

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Kagera

    Anwani: S.L.P 299 BUKOBA

    Simu ya Mezani: 255 28 2220215/17

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras.kagera@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma Zetu
    • Hakimiliki

Haki zote zimehifadhiwa