• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
KAGERA REGIONAL WEBSITE

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na SerikaliI za Mitaa Mkoa wa Kagera

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu/Vitengo
      • Sehemu
        • Usimamizi Ufuatiliaji na Ukaguzi
        • Miundombinu
        • Elimu
          • Elimu ya Msingi
          • Elimu ya Sekondari
          • Elimu ya Watu Wazima
          • Elimu ya Juu
          • Michezo
          • Vijana
        • Afya
          • Afya
          • Ustawi wa Jamii
        • Utawala na Rasilimali Watu
        • Mipango na Uratibu
          • Mipango
          • Takwimu
          • Maendeleo ya Jamii
          • TASAF
        • Uchumi na Uzalishaji
          • Kilimo cha Umwagiliaji
          • Viwanda na Biashara
          • Uvuvi
          • Mifugo
          • Maliasili, Utalii na Mazingira
          • Ushirika
          • Kilimo
        • Uwekezaji Viwanda na Biashara
      • Vitengo
        • TEHAMA
        • Sheria
        • Fedha na Uhasibu
        • Ukaguzi wa Ndani
        • Ugavi
        • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Bukoba
      • Viongozi wa Bukoba
    • Biharamulo
      • Viongozi wa Biharamulo
    • Karagwe
      • Viongozi wa Karagwe
    • Kyerwa
      • Viongozi wa Kyerwa
    • Missenyi
      • Viongozi wa Missenyi
    • Muleba
      • Viongozi wa Muleba
    • Ngara
      • Viongozi wa Ngara
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Manispaa ya Bukoba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Bukoba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Biharamulo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Karagwe
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kyerwa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Misseny
    • Halmashauri ya Wilaya ya Muleba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ngara
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Fursa za Ufugaji
    • Fursa za Kilimo
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Ufugaji
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
    • Jarida
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali

Kwaheri ya Kuonana Mkuu wa Mkoa wa Kagera Mstaafu Meja Jenerali Mstaafu Salum M. Kijuu

Imewekwa : August 7th, 2018

Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Kagera Meja Jenerali Mstaafu Salum M. Kijuu  mara baada ya kukamilisha  majukumu yake ya Ukuu wa Mkoa hapo Jumatatu  Agosti 6, 2018 kwa kukabidhi rasmi ofisi rasmi kwa mrithi wake Brigedia Jenerali  Marco E. Gaguti Jumanne  Agosti 7, 2018 ametuaga na kuondoka rasmi kwenda kupumzika  baada ya miaka 43 ya utumishi wa umma.

Baba Salum M. Kijuu kwaheri tunakutakia baraka, heri na fanaka na Mwenyezi Mungu  akujalie maisha marefu wewe pamoja na familia yako. Imani yetu Wanakagera ni kuwa kwa kila ulichotoa kwaajili yetu Mungu atakulipa zaidi.

Mhe. Kijuu ulikuwa mlezi hasa sisi watumishi wa ofisi yako ulituongoza kwa kutuelekeza na kutufundisha kazi tutakumbuka daima. Uliwahudumia wananchi wote kila mmoja kutokana au kulingana na shida yake na kuhakikisha ufuatiliaji unafanyika mpaka mhusika shida yake inatatuliwa.

Mhe. Kijuu Wazee wanaolelewa katika Kituo cha Kiilima Halmashauri ya Wilaya Bukoba watakumbuka sana kwani kila wakati uliwapa kipaumbele sana kuhakikisha makazi yao yanaboreshwa na wanapata chakula kadri ya mahitaji yao, kauli yako kila mara ulisema lazima tuwaenzi wazee wetu kwani walitumikia taifa letu kwa uzalendo na kuwa kila mmoja anaelekea uzeeni. Kwaheri Mzee Kijuu.

Siyo Kituo cha Kiilima tu bali na Nyumba ya Wazee iliyopo katika Parokia ya Kashozi Jimbo Katoriki la Bukoba ulielekeza jengo lao lijengwe upya mara baada ya kwenda na kuliona kuwa lilikuwa halifai tena wazee kuishi baada ya kuathiriwa vibaya na Tetemeko la Septemba 10, 2016. Hukujali jengo linamilikiwa na nani bali tu kwasababu wanaishi wazee. Utakumbukwa sana na Wazeehao Mhe. Kijuu.

Nakumbuka kila mara katika ziara zako za kutembelea walengwa au wanufaika wa TASAF Awamu ya Tatu  kila ulipomkuta mzee amefanya jambo la maendeleo kwa kutumia fedha za TASAFU ulitoa pochi yako na kumuongezeafedha  na ulitoa mifano katika hotuba zako kuwa wazee wanafanya vizuri sana kwa kuzitumia fedha za TASAF. Tutakumuka Mhe. Kijuu.

Mwisho,  uliyoyafanya ya kukumbuka ni mengi mno na si rahisi kuyataja yote na kuyamaliza bali tunakutakia mapumziko mema na sisi tunakuhaidi kuwa tutayaishi yale yote ulotuachia ili kukuenzi. Kweheri Meja Jenerali Mstaafu Salum M. Kijuu Kagera kutabaki kuwa Nyumbani Kwako.

Matangazo

  • No records found
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Kamati ya Ushauri ya Mkoa wa Kagera Yaridhia Jimbo la Uchaguzi la Nkenge Kuitwa Jimbo la Uchaguzi Missenyi

    March 17, 2025
  • Mkuu wa Mkoa wa Mwassa Awashukuru Wabunge Kupitisha Fedha za Miradi ya Mapinduzi ya Kiuchumi Kagera

    March 14, 2025
  • Viongozi wa Dini Wahimizwa Kudumisha Mshikamano Ili Kukuza Uchumi wa Mkoa wa Kagera – RC Mwassa

    March 14, 2025
  • TULIPE KODI-RC MWASSA

    October 07, 2023
  • Tazama zote

Video

KAGERA REGION DOCUMENTARY
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Taratibu za biashara ya ndani
  • Barabara Kuu na ndogo za Mkoa
  • Vituo vya Redio Katika Mkoa wa Kagera
  • Wakuu wa Mkoa wa Kagera Tangu Uhuru Mwaka 1961
  • Matokeo ya Darasa la VII 2018, Wanafunzi 10 Bora, Shule 10 Bora, Watakaojiunga Kidato cha I, 2019
  • Kitabu cha Mwongozo wa Uwekezaji Kagera 2019
  • FOMU YA USAJILI WA WAFANYABIASAHARA NA WADAU WA MKOA WA KAGERA, ZIARA YA KUTEMBELEA NCHI ZA AFRIKA MASHARIKI NA KATI KWA LENGO LA KUTAFUTA FURSA ZA BIASHARA NA UWEKEZAJI NOVEMBER, 2019.

Tovuti Mashuhuri

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Takwimu Huria

Wafuatiliaji Kimataifa

world map hits counter

Kaunta ya Wageni

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Kagera

    Anwani: S.L.P 299 BUKOBA

    Simu ya Mezani: 255 28 2220215/17

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras.kagera@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma Zetu
    • Hakimiliki

Haki zote zimehifadhiwa