• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
KAGERA REGIONAL WEBSITE

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na SerikaliI za Mitaa Mkoa wa Kagera

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu/Vitengo
      • Sehemu
        • Usimamizi Ufuatiliaji na Ukaguzi
        • Miundombinu
        • Elimu
          • Elimu ya Msingi
          • Elimu ya Sekondari
          • Elimu ya Watu Wazima
          • Elimu ya Juu
          • Michezo
          • Vijana
        • Afya
          • Afya
          • Ustawi wa Jamii
        • Utawala na Rasilimali Watu
        • Mipango na Uratibu
          • Mipango
          • Takwimu
          • Maendeleo ya Jamii
          • TASAF
        • Uchumi na Uzalishaji
          • Kilimo cha Umwagiliaji
          • Viwanda na Biashara
          • Uvuvi
          • Mifugo
          • Maliasili, Utalii na Mazingira
          • Ushirika
          • Kilimo
        • Uwekezaji Viwanda na Biashara
      • Vitengo
        • TEHAMA
        • Sheria
        • Fedha na Uhasibu
        • Ukaguzi wa Ndani
        • Ugavi
        • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Bukoba
      • Viongozi wa Bukoba
    • Biharamulo
      • Viongozi wa Biharamulo
    • Karagwe
      • Viongozi wa Karagwe
    • Kyerwa
      • Viongozi wa Kyerwa
    • Missenyi
      • Viongozi wa Missenyi
    • Muleba
      • Viongozi wa Muleba
    • Ngara
      • Viongozi wa Ngara
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Manispaa ya Bukoba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Bukoba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Biharamulo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Karagwe
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kyerwa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Misseny
    • Halmashauri ya Wilaya ya Muleba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ngara
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Fursa za Ufugaji
    • Fursa za Kilimo
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Ufugaji
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
    • Jarida
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali

Mkoa wa Kagera Wapokea Ndege Zisizokuwa na Rubani na Simu za Upepo Kutekeleza Operesheni kwa Ufanisi Zaidi

Imewekwa : April 3rd, 2017

Serikali Mkoani Kagera Yapokea Vifaa vya Kisasa Kutekeleza Kwa Ufanisi Operesheni ya Kuondoa Mifugo na Wavamizi Kwenye Hifadhi

Serikali ya Mkoa wa Kagera imepatiwa vifaa vya kisasa  ambavyo ni Ndege mbili zisizotumia Rubani (Drones) na Redio Upepo ishirini (Radio Calls) kwa ajili ya kufanikisha operesheni ya kuwaondoa wavamizi wa misitu na mifugo inayochungiwa katika Hifadhi za Misitu, Mapori ya Akiba na Vyanzo vya maji ambapo uharibifu mkubwa ulikuwa unaendelea katika hifadhi hizo.

Makabidhiano ya vifaa hivyo yalifanyika katika Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Kagera April 2, 2017 katika hafla fupi ambapo Simu 20 za upepo (Radio Calls) zenye thamani ya shilingi 25,000,000/= (Shilingi Milioni Ishirini na tano) zilitolewa na Meja Jenerali Mstaafu Hamis Semfuko Mwenyekiti wa Bodi ya Mamlaka ya Wanyamapori Tanzania (TAWA) kutoka katika Kampuni yake binafsi ya SUN MACHNERY.

Pia Bw. Martine Loibook  Kaimu Mkurugenzi wa Mamlaka ya Wanyamapori Tanzania alikabidhi ndege mbili zisizotumia rubani (Drones) zenye thamani ya dola 40,000 USD  (Dola elfu arobaini) na kusema kuwa TAWA wamefurahishwa na jinsi Serikali ya Mkoa wa Kagera ikiongozwa na Mkuu wa Mkoa Mhe. Kijuu inavyoendelea na zoezi la operesheni ili kunusuru Hifadhi za Misitu na Wanyamapori.

Meja Jenerali Mstaafu Hamis Semfuko naye pia alisema lengo la kutoa vifaa hivyo ni kuhakikisha operesheni inafanikiwa kwa asilimia mia moja  na vifaa hivyo vitasaidia kufanya operesheni kila eneo la Hifadhi la Mkoa wa Kagera bila kuacha wavamizi na mifugo katika maeneo  hayo.

Kwaniaba ya Serikali Mkoani Kagera Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Kagera Mhe. Deodatus Kinawilo ambaye ni Mkuu wa Wilaya ya Bukoba alivipokea vifaa hivyo na alishukuru kwaniaba ya Serikali ya mkoa kuwa vifaa vilivyotolewa kuwa vitaongeza ufanisi katika operesheni hiyo. Aidha Kaimu Mkuu wa Mkoa aliendelea kutoa rai kuwa operesheni hiyo siyo nguvu ya soda bali maeneo yote ya hifadhi za Misitu na Wanyamapori yatasafishwa ili yabakie kama ilivyokuwa awali.

Aidha Bw. Faustine Masalu Mkurugenzi wa Huduma za Ulinzi na Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania ambaye ni Mtekelezaji Mkuu wa Operesheni alisema operesheni inaendelea vizuri ambapo tayari watuhumiwa 19 na jumla ya mifugo 1922 ilikuwa imekamatwa kufikia April 2, 2017 Jumapili jioni.

Matangazo

  • No records found
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Kamati ya Ushauri ya Mkoa wa Kagera Yaridhia Jimbo la Uchaguzi la Nkenge Kuitwa Jimbo la Uchaguzi Missenyi

    March 17, 2025
  • Mkuu wa Mkoa wa Mwassa Awashukuru Wabunge Kupitisha Fedha za Miradi ya Mapinduzi ya Kiuchumi Kagera

    March 14, 2025
  • Viongozi wa Dini Wahimizwa Kudumisha Mshikamano Ili Kukuza Uchumi wa Mkoa wa Kagera – RC Mwassa

    March 14, 2025
  • TULIPE KODI-RC MWASSA

    October 07, 2023
  • Tazama zote

Video

KAGERA REGION DOCUMENTARY
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Taratibu za biashara ya ndani
  • Barabara Kuu na ndogo za Mkoa
  • Vituo vya Redio Katika Mkoa wa Kagera
  • Wakuu wa Mkoa wa Kagera Tangu Uhuru Mwaka 1961
  • Matokeo ya Darasa la VII 2018, Wanafunzi 10 Bora, Shule 10 Bora, Watakaojiunga Kidato cha I, 2019
  • Kitabu cha Mwongozo wa Uwekezaji Kagera 2019
  • FOMU YA USAJILI WA WAFANYABIASAHARA NA WADAU WA MKOA WA KAGERA, ZIARA YA KUTEMBELEA NCHI ZA AFRIKA MASHARIKI NA KATI KWA LENGO LA KUTAFUTA FURSA ZA BIASHARA NA UWEKEZAJI NOVEMBER, 2019.

Tovuti Mashuhuri

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Takwimu Huria

Wafuatiliaji Kimataifa

world map hits counter

Kaunta ya Wageni

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Kagera

    Anwani: S.L.P 299 BUKOBA

    Simu ya Mezani: 255 28 2220215/17

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras.kagera@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma Zetu
    • Hakimiliki

Haki zote zimehifadhiwa