• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
KAGERA REGIONAL WEBSITE

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na SerikaliI za Mitaa Mkoa wa Kagera

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu/Vitengo
      • Sehemu
        • Mamlaka za Serikali za Mitaa
        • Miundombinu
        • Elimu
          • Elimu ya Msingi
          • Elimu ya Sekondari
          • Elimu ya Watu Wazima
          • Elimu ya Juu
          • Michezo
          • Vijana
        • Afya
          • Afya
          • Ustawi wa Jamii
        • Utawala na Rasilimali Watu
        • Mipango na Uratibu
          • Mipango
          • Takwimu
          • Maendeleo ya Jamii
          • TASAF
        • Uchumi na Uzalishaji
          • Kilimo cha Umwagiliaji
          • Viwanda na Biashara
          • Uvuvi
          • Mifugo
          • Maliasili, Utalii na Mazingira
          • Ushirika
          • Kilimo
        • Maji
      • Vitengo
        • TEHAMA
        • Sheria
        • Fedha na Uhasibu
        • Ukaguzi wa Ndani
        • Ugavi
        • Kitengo cha Mawasiliano
  • Wilaya
    • Bukoba
      • Viongozi wa Bukoba
    • Biharamulo
      • Viongozi wa Biharamulo
    • Karagwe
      • Viongozi wa Karagwe
    • Kyerwa
      • Viongozi wa Kyerwa
    • Missenyi
      • Viongozi wa Missenyi
    • Muleba
      • Viongozi wa Muleba
    • Ngara
      • Viongozi wa Ngara
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Manispaa ya Bukoba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Bukoba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Biharamulo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Karagwe
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kyerwa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Misseny
    • Halmashauri ya Wilaya ya Muleba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ngara
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Fursa za Ufugaji
    • Fursa za Kilimo
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Ufugaji
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
    • Jarida
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali

Mkuu wa Mkoa Gaguti Atoa Mkono Wa Heri ya Eid El-Fitr na Kuwataka Waislamu Mkoani Kagera Kusherehekea Sikukuu Hizo Kwa Amani Upendo na Utulivu

Imewekwa : June 4th, 2019

Mkuu wa Mkoa wa Kagera Brigedia Jenerali Marco E. Gaguti atoa mkono wa heri ya Eid El-Fitr na kuwatakia heri na baraka Waislamu wote Mkoani Kagera pamoja na Tanzania katika sikukuu hizo na kuwataka washerekee kwa amani na utulivu.

Mkuu wa Mkoa Gaguti alitoa mkono huo wa heri Juni 4, 2019  katika msikiti wa Bilele Manispaa ya Bukoba alipokutana na viongozi  pamoja na wajumbe wa Baraza la Waislamu Tanzania (BAKWATA) mkoa wa Kagera lililoongozwa na Sheikhe wa mkoa wa Kagera  Kharuna Kichwabuta na kuwapongeza kuelekea kumaliza mfungo mtukufu wa ramadhani na kuanza Sikukuu za Eid El-Fitr.

“Nimeona nije kuwapongeza mnapoelekea kumaliza Mfungo Mtukufu wa Ramadhani na kuelekea katika Sikukuu za Eid El-Fitr ili niwatakie heri na sikukuu njema kama ilivyo destuli yetu katika mkoa wa Kagera sisi Serikali kushirikiana na madhehebu ya dini katika shughuli mbalimbali kwa hiyo tunawatakia heri pia na sherehe njema za  Eid El-Fitr.” Alifafanua Mkuu wa Mkoa Gaguti.

Aidha, Mkuu wa Mkoa Gaguti aliwahakikishia Waislamu wote mkoani Kagera kuwa sikukuu za Eid El-Fitr zitaadhimishwa kwa amani na utulivu kwani Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Mkoa na Wilaya zimejipanga kuhakikisha sikukuu hizo ziaadhimishwa kwa amani na upendo kama ilivyo desturi ya wananchi wa Kagera.

Vilevile Mkuu wa Mkoa Gaguti alitoa angalizo kwa wazazi na walezi wa watoto kuchukua tahadhari katika Sikukuu za Eid El-Fitr kutowaruhusu watoto waende katika maeneo ya fukwe wakiwa wao wenyewe bila kuwa chini ya uangalizi wa walezi wao ili kuepukana na matatizo yanayoweza kujitokeza baadae ikiwa ni pamoja na watoto kuzama ziwani au kupotea.

Akipokea mkono wa heri ya Eid El-Fitr kwaniaba ya Waislamu wenzake Sheikh Kharuna Kichwabuta  alimshukuru Mkuu wa Mkoa wa Kagera na Serikali ya mkoa kwa ujumla kuwatakia heri Waislamu wote katika sikukuu zao za Eid El-Fitr wanapoelekea kumaliza Mfungo Mtukufu wa Ramadhani. Pia Sheikh Kichwabuta aliomba na kusisitiza umoja na mshikamano kati ya Waislamu na Serikali uendelee kama ilivyo mila na desturi ya mkoa wa Kagera.

Matangazo

  • Online Content - inception report for CSA training programme in Kagera region August 19, 2022
  • Kilele cha Mbio za Mwenge wa Uhuru Kuhitimishwa Mkoani Kagera Oktoba 14, 2022 August 23, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Mkoa wa Kagera Wapokea Magari Matano Kusaidi Kufanikisha Zoezi la Sensa ya Watu na Makazi

    August 24, 2022
  • Mkuu wa Mkoa Chamila Akagua Miradi na Kuongea na Makarani Wa Sensa ya Watu na Makazi Kagera

    August 23, 2022
  • Wanakagera Wakumbushwa Kuendelea Kuilinda Amani ya Tanzania Ili Kufikia Miaka 100 ya Uhuru

    December 08, 2021
  • Wanakagera Wakumbushwa Kuendelea Kuilinda Amani ya Tanzania Ili Kufikia Miaka 100 ya Uhuru

    December 08, 2021
  • Tazama zote

Video

Kijue Chuo Kipya cha Kisasa cha Ufundi Stadi VETA Mkoani Kagera Kazi Inaendelea.....
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Taratibu za biashara ya ndani
  • Barabara Kuu na ndogo za Mkoa
  • Vituo vya Redio Katika Mkoa wa Kagera
  • Wakuu wa Mkoa wa Kagera Tangu Uhuru Mwaka 1961
  • Matokeo ya Darasa la VII 2018, Wanafunzi 10 Bora, Shule 10 Bora, Watakaojiunga Kidato cha I, 2019
  • Kitabu cha Mwongozo wa Uwekezaji Kagera 2019
  • FOMU YA USAJILI WA WAFANYABIASAHARA NA WADAU WA MKOA WA KAGERA, ZIARA YA KUTEMBELEA NCHI ZA AFRIKA MASHARIKI NA KATI KWA LENGO LA KUTAFUTA FURSA ZA BIASHARA NA UWEKEZAJI NOVEMBER, 2019.

Tovuti Mashuhuri

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Takwimu Huria

Wafuatiliaji Kimataifa

world map hits counter

Kaunta ya Wageni

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Kagera

    Anwani: S.L.P 299 BUKOBA

    Simu ya Mezani: 255 28 2220215/17

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras.kagera@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma Zetu
    • Hakimiliki

Haki zote zimehifadhiwa