• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
KAGERA REGIONAL WEBSITE

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na SerikaliI za Mitaa Mkoa wa Kagera

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu/Vitengo
      • Sehemu
        • Usimamizi Ufuatiliaji na Ukaguzi
        • Miundombinu
        • Elimu
          • Elimu ya Msingi
          • Elimu ya Sekondari
          • Elimu ya Watu Wazima
          • Elimu ya Juu
          • Michezo
          • Vijana
        • Afya
          • Afya
          • Ustawi wa Jamii
        • Utawala na Rasilimali Watu
        • Mipango na Uratibu
          • Mipango
          • Takwimu
          • Maendeleo ya Jamii
          • TASAF
        • Uchumi na Uzalishaji
          • Kilimo cha Umwagiliaji
          • Viwanda na Biashara
          • Uvuvi
          • Mifugo
          • Maliasili, Utalii na Mazingira
          • Ushirika
          • Kilimo
        • Uwekezaji Viwanda na Biashara
      • Vitengo
        • TEHAMA
        • Sheria
        • Fedha na Uhasibu
        • Ukaguzi wa Ndani
        • Ugavi
        • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Bukoba
      • Viongozi wa Bukoba
    • Biharamulo
      • Viongozi wa Biharamulo
    • Karagwe
      • Viongozi wa Karagwe
    • Kyerwa
      • Viongozi wa Kyerwa
    • Missenyi
      • Viongozi wa Missenyi
    • Muleba
      • Viongozi wa Muleba
    • Ngara
      • Viongozi wa Ngara
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Manispaa ya Bukoba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Bukoba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Biharamulo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Karagwe
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kyerwa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Misseny
    • Halmashauri ya Wilaya ya Muleba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ngara
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Fursa za Ufugaji
    • Fursa za Kilimo
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Ufugaji
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
    • Jarida
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali

Profesa Ndalichako Katikati Akiwa na Mbunge wa Nkenge Balozi D. Kamala (Kulia) Wakitembelea Chuo cha Maendeleo ya Wananchi Gera Wilayani Missenyi.

Imewekwa : February 15th, 2018

Waziri Ndalichako Akiwa Mkoani Kagera Aagiza Maafisa Elimu Nchini Kudahili Wanafunzi Kulingana na  Uwezo Wa Miundombinu ya Shule

Waziara wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Profesa Joyce Ndalichako katika ziara yake ya siku mbili Mkoani Kagera kuanzia Februari 13 hadi 14, 2018 alitembelea, kukagua na kupokea  miradi mbalimbali ya Elimu  ikiwa ni pamoja na kutembelea baadhi ya shule za Sekondari na kuonge na wanafunzi wa shule hizo.

Wilayani Muleba Katika siku yake ya kwanza Mkoani Kagera Prof. Ndalichako alitembelea na kukagua miundombinu ya Chuo cha Ualimu Katoke Wilayani Muleba ambapo katika chuo hicho ambacho miundombinu yake imechoka na alihaidi kuwa kitatengewa bajeti ya ukarabati kuanzia bajeti ya mwaka 2018/2019 ili kikarabatiwe.

Shule ya Sekondari Profesa Joyce Ndalichako, Prof. Ndalichako pia alifika katika shule hiyo iliyopewa jina lake ili kujionea ujenzi wa shule ambayo fedha zake zilitolewa na Serikali, Katika Shule hiyo Prof. Ndalichako aliridhika na viwango vya ujenzi wa shule hiyo na kuwapongeza wananchi kushirikiana na Serikali katika kujenga Shule hiyo.

Prof. Ndalichako aliwahasa wanafunzi kujitahidi katika masomo yao ili wasimwangushe kwani shule hiyo inaitwa jina lake. Pia alihaidi kutoa shilingi milioni 50 kwa ajili ya kujenga Maabara na shilingi milioni 3 kwajili ya kununulia vitabu ili wanafunzi wa shule hiyo waweze kupata elimu stahiki.

Shule ya Sekondari Prof. Anna Tibaijuka Muleba mjini, katika ziara yake pia Prof. Ndalichako pia lipata wasaa wa kuitembelea Shule hiyo ambayo bado ina changamoto ya miundombinu kama madarasa pamoja samani za viti na meza kwa ajili ya wanafunzi .

Agizo;  Baada ya kuona msongamano wa wanafunzi katika shule hiyo Prof. Ndalichako alitoa Agizo kwa Maafisa Elimu Mikoa na Wilaya Nchini kuacha tabia ya kudahili wanafaunzi  juu ya uwezo wa miundombinu katika shule husika. Maafisa Elimu Mikoa na Wilaya popote nitakapokuta wamedahili watoto kuzidi uwezo wa miundombinu iliyopo watawajibika wao wenyewe, Alisistiza Prof. Ndalichako.

Prof. Ndalichako alisema kuwa ni ajabu kuona shule haina madarasa ya kutosha alafu Maafisa Elimu wanawapeleka wanafunzi wengi katika shule hiyo ambayo haiwezi kuwamudu wanafunzi hao kwa wakati mmoja. Katika hatua nyingine Prof. Ndalichako alihaidi kutoa  mabati 100 ili kumalizia chumba cha darasa ambalo ujenzi wake unaendelea.

Wilayani Missenyi Siku hiyo hiyo akiwa Wilayani Missenyi Prof. Ndalichako alitembelea Chuo cha Maendelea ya Wananchi Gera na kujionea ukarabati wa Chuo hicho ambapo Serikali ilitoa Shilingi Milioni 75 ili kukarabati baadhi ya majengo. Prof. Ndalichako hakuridhishwa na kiwango cha ukarabati uliofanywa na VETA Kagera  katika chuo hicho kwani haundani na thamani ya fedha iliyotolewa.

Waziri Ndalichako aliwakemea VETA nchini kuwa  wamekuwa wakifanya kazi zao chini ya kiwango na alisema kuwa atatuma ukaguzi maalum katika Chuo hicho ili kukagua kazi iliyofanyika na kama ikigundulika kuwa kuna uchakachuzi VETA  Kagera watalazimika kukiarabati chuo hicho kwa gharama zao wenyewe, pia ukaguzi huo maalum utapitia na shughuli zao za kawaida kwani ilionekana kuwa wamekuwa wakifanya madudu.

Matangazo

  • No records found
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Kamati ya Ushauri ya Mkoa wa Kagera Yaridhia Jimbo la Uchaguzi la Nkenge Kuitwa Jimbo la Uchaguzi Missenyi

    March 17, 2025
  • Mkuu wa Mkoa wa Mwassa Awashukuru Wabunge Kupitisha Fedha za Miradi ya Mapinduzi ya Kiuchumi Kagera

    March 14, 2025
  • Viongozi wa Dini Wahimizwa Kudumisha Mshikamano Ili Kukuza Uchumi wa Mkoa wa Kagera – RC Mwassa

    March 14, 2025
  • TULIPE KODI-RC MWASSA

    October 07, 2023
  • Tazama zote

Video

KAGERA REGION DOCUMENTARY
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Taratibu za biashara ya ndani
  • Barabara Kuu na ndogo za Mkoa
  • Vituo vya Redio Katika Mkoa wa Kagera
  • Wakuu wa Mkoa wa Kagera Tangu Uhuru Mwaka 1961
  • Matokeo ya Darasa la VII 2018, Wanafunzi 10 Bora, Shule 10 Bora, Watakaojiunga Kidato cha I, 2019
  • Kitabu cha Mwongozo wa Uwekezaji Kagera 2019
  • FOMU YA USAJILI WA WAFANYABIASAHARA NA WADAU WA MKOA WA KAGERA, ZIARA YA KUTEMBELEA NCHI ZA AFRIKA MASHARIKI NA KATI KWA LENGO LA KUTAFUTA FURSA ZA BIASHARA NA UWEKEZAJI NOVEMBER, 2019.

Tovuti Mashuhuri

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Takwimu Huria

Wafuatiliaji Kimataifa

world map hits counter

Kaunta ya Wageni

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Kagera

    Anwani: S.L.P 299 BUKOBA

    Simu ya Mezani: 255 28 2220215/17

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras.kagera@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma Zetu
    • Hakimiliki

Haki zote zimehifadhiwa