• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
KAGERA REGIONAL WEBSITE

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na SerikaliI za Mitaa Mkoa wa Kagera

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu/Vitengo
      • Sehemu
        • Usimamizi Ufuatiliaji na Ukaguzi
        • Miundombinu
        • Elimu
          • Elimu ya Msingi
          • Elimu ya Sekondari
          • Elimu ya Watu Wazima
          • Elimu ya Juu
          • Michezo
          • Vijana
        • Afya
          • Afya
          • Ustawi wa Jamii
        • Utawala na Rasilimali Watu
        • Mipango na Uratibu
          • Mipango
          • Takwimu
          • Maendeleo ya Jamii
          • TASAF
        • Uchumi na Uzalishaji
          • Kilimo cha Umwagiliaji
          • Viwanda na Biashara
          • Uvuvi
          • Mifugo
          • Maliasili, Utalii na Mazingira
          • Ushirika
          • Kilimo
        • Uwekezaji Viwanda na Biashara
      • Vitengo
        • TEHAMA
        • Sheria
        • Fedha na Uhasibu
        • Ukaguzi wa Ndani
        • Ugavi
        • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Bukoba
      • Viongozi wa Bukoba
    • Biharamulo
      • Viongozi wa Biharamulo
    • Karagwe
      • Viongozi wa Karagwe
    • Kyerwa
      • Viongozi wa Kyerwa
    • Missenyi
      • Viongozi wa Missenyi
    • Muleba
      • Viongozi wa Muleba
    • Ngara
      • Viongozi wa Ngara
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Manispaa ya Bukoba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Bukoba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Biharamulo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Karagwe
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kyerwa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Misseny
    • Halmashauri ya Wilaya ya Muleba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ngara
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Fursa za Ufugaji
    • Fursa za Kilimo
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Ufugaji
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
    • Jarida
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali

Uzinduzi wa Zoezi la Upuliziaji wa Dawa ya Ukoko Majumbani Mkoani Kagera

Imewekwa : February 15th, 2017
  • “Shiriki Kutokomeza Malaria Kabisa kwa Manufaa ya Jamii”
  • Hiyo ni kaulimbiu ya uzinduzi wa zoezi la upuliziaji wa dawa ya ukoko majumbani kwa ajili ya kuua mbu waenezao malaria katika Mkoa wa Kagera kwa mwaka 2017 zoezi lililozinduliwa leo tarehe 23 Januari, 2017 katika Halmashauri ya Wilaya ya Missenyi eneo la Kyaka na Mkuu wa Mkoa wa Kagera Meja Jenerali Mstaafu Salum M. Kijuu.

  • Akizindua zoezi hilo Mkuu wa Mkoa alilishukuru shirika la TBT Associates kwa kuendendelea na juhudi za kunyunyizia dawa ya ukoko majumbani ili kupunguza tatizo la ugonjwa wa Malaria katika mkoa wa Kagera kwa muda wa miaka kumi sasa tangu mwaka 2007.

Aidha, Mhe. Kijuu alisema kuwa Kimkoa, kiwango cha maambukizi ya malaria kilikuwa 42% mwaka 2007. Baada ya utekelezaji yakinifu wa afua mbalimbali za kupambana na ugonjwa wa malaria ikiwemo, matumizi sahihi ya  vyandarua, unyunyiziaji wa dawa ya ukoko majumbani, kupima na kutoa tiba sahihi, pamoja na usafi wa mazingira kwa ajili kupunguza mazalia ya mbu, kiwango cha maambukizi kilishuka na kufikia 9% mwaka 2011.

Mwaka 2016, takribani wagonjwa 446,285 waliugua malaria. Asilimia 24.5% ya wagonjwa waliohudhulia katika vituo vya kutolea huduma za Afya katika Mkoa walikutwa na Malaria. Kwa Wilaya ya Missenyi wagonjwa wanaougua malaria wamepungua kwa asilimia 54% kwa mwaka 2016, kwa watoto chini ya miaka 5 wagonjwa wamepungua kwa asilimia 64% na kwa watu wazima asilimia 45%. Hii imechangiwa kwa kiasi kikubwa na upuliziaji wa dawa ya ukoko uliofanyika mwaka 2016. Alisistiza Mkuu wa Mkoa.

Aidha Mkuu wa Mkoa wa Kagera alitoa wito kwa wananchi wa Halmashauri za Wilaya za Bukoba (Vijini) Ngara na Missenyi kutoa ushirikiano kwa maafisa wanaohusika na zoezi hilo ili kila nyumba iliyopangiwa kunyuziwa dawa ya ukoko unyunyiziwe bila kipingamizi chochote ili kufanikisha lengo lililokusudiwa la kutokomeza ugonjwa wa Malaria.

Dk. Magesa Mratibu wa Mradi wa TBT Associate alisema kuwa zoezi la upuliziaji wa dawa ya ukoko mjumbani kwa mwaka 2017 inaanza rasmi tarehe 25.01.2017 kwa Halmashauri za Wilaya tatu Bukoba Ngara na Miseenyi na litadumu kwa siku 24 na litahitimishwa tarehe 21 Februari, 2017. Aidha, nyumba 163,299 zinatarajiwa kupuliziwa dawa hiyo na kikosi cha wapuliziaji 743.

Zoezi la upuliziaji wa dawa ya ukoko majumbani litavihusisha vyombo vya Ulinzi na Usalama ili kuhakikisha linafanikiwa vizuri kutokana na baadhi ya wananchi kuwa na mitazamo tofauti au imani potofu juu ya dawa ya ukoko na kupelekea kuwahamsisha wananchi kutotoa ushirikiano katika majumba yao yapuliziwe dawa hiyo.

Wito kwa wananchi wa Halmashuri za Wilaya za Bukoba, Ngara na Missenyi ni kutoa ushirikiano ili kila nyumba iweze kupuliziwa dawa ya ukoko ili kupambana na maambukizi ya ugonjwa wa malaria unaoenezwa na mbu. Kama zoezi hilo litafanikiwa kwa kiwango kikubwa ugonjwa wa malaria utatokomezwa na kuwaacha wananchi kufanya kazi zao bila madahara yoyote ya mwili yanayosababishwa na ugonjwa wa malaria

Matangazo

  • No records found
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Kamati ya Ushauri ya Mkoa wa Kagera Yaridhia Jimbo la Uchaguzi la Nkenge Kuitwa Jimbo la Uchaguzi Missenyi

    March 17, 2025
  • Mkuu wa Mkoa wa Mwassa Awashukuru Wabunge Kupitisha Fedha za Miradi ya Mapinduzi ya Kiuchumi Kagera

    March 14, 2025
  • Viongozi wa Dini Wahimizwa Kudumisha Mshikamano Ili Kukuza Uchumi wa Mkoa wa Kagera – RC Mwassa

    March 14, 2025
  • TULIPE KODI-RC MWASSA

    October 07, 2023
  • Tazama zote

Video

KAGERA REGION DOCUMENTARY
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Taratibu za biashara ya ndani
  • Barabara Kuu na ndogo za Mkoa
  • Vituo vya Redio Katika Mkoa wa Kagera
  • Wakuu wa Mkoa wa Kagera Tangu Uhuru Mwaka 1961
  • Matokeo ya Darasa la VII 2018, Wanafunzi 10 Bora, Shule 10 Bora, Watakaojiunga Kidato cha I, 2019
  • Kitabu cha Mwongozo wa Uwekezaji Kagera 2019
  • FOMU YA USAJILI WA WAFANYABIASAHARA NA WADAU WA MKOA WA KAGERA, ZIARA YA KUTEMBELEA NCHI ZA AFRIKA MASHARIKI NA KATI KWA LENGO LA KUTAFUTA FURSA ZA BIASHARA NA UWEKEZAJI NOVEMBER, 2019.

Tovuti Mashuhuri

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Takwimu Huria

Wafuatiliaji Kimataifa

world map hits counter

Kaunta ya Wageni

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Kagera

    Anwani: S.L.P 299 BUKOBA

    Simu ya Mezani: 255 28 2220215/17

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras.kagera@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma Zetu
    • Hakimiliki

Haki zote zimehifadhiwa