• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
KAGERA REGIONAL WEBSITE

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na SerikaliI za Mitaa Mkoa wa Kagera

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu/Vitengo
      • Sehemu
        • Mamlaka za Serikali za Mitaa
        • Miundombinu
        • Elimu
          • Elimu ya Msingi
          • Elimu ya Sekondari
          • Elimu ya Watu Wazima
          • Elimu ya Juu
          • Michezo
          • Vijana
        • Afya
          • Afya
          • Ustawi wa Jamii
        • Utawala na Rasilimali Watu
        • Mipango na Uratibu
          • Mipango
          • Takwimu
          • Maendeleo ya Jamii
          • TASAF
        • Uchumi na Uzalishaji
          • Kilimo cha Umwagiliaji
          • Viwanda na Biashara
          • Uvuvi
          • Mifugo
          • Maliasili, Utalii na Mazingira
          • Ushirika
          • Kilimo
        • Maji
      • Vitengo
        • TEHAMA
        • Sheria
        • Fedha na Uhasibu
        • Ukaguzi wa Ndani
        • Ugavi
  • Wilaya
    • Bukoba
      • Viongozi wa Bukoba
    • Biharamulo
      • Viongozi wa Biharamulo
    • Karagwe
      • Viongozi wa Karagwe
    • Kyerwa
      • Viongozi wa Kyerwa
    • Missenyi
      • Viongozi wa Missenyi
    • Muleba
      • Viongozi wa Muleba
    • Ngara
      • Viongozi wa Ngara
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Manispaa ya Bukoba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Bukoba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Biharamulo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Karagwe
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kyerwa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Misseny
    • Halmashauri ya Wilaya ya Muleba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ngara
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Fursa za Ufugaji
    • Fursa za Kilimo
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Ufugaji
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
    • Jarida
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Picha Mbalimbali

Wasifu

Profesa Faustin Kamuzora
Katibu Tawala Mkoa

Mkoa wa Kagera

Na.
 AINA YA TAARIFA
 MAELEZO
1.
 JINA KAMILI NA UTAMBULISHO
 Profesa Faustin Kamuzora 
2.
 TAREHE YA KUZALIWA
  
3.
 Elimu au Mafunzo
 Jina la Shule/Chuo

Kutoka Mwaka

Hadi Mwaka

Kiwango (Mfano Cheti/Shahada)

i

 Doctor of Philosophy (PhD),  Informatics
 Chuo Kikuu cha Bradford

2003

2006

 Shahada ya Uzamivu Katika Teknolojia  ya  Habari

ii

 Masters of Science, Agricultural  Economics
 Chuo Kikuu cha Jimbo la Carolina  Kaskazini cha Kilimo na Ufundi

1994

1996

 Shahada ya Uzamiri wa Sayansi na  Kilimo  cha Biashara ya Kimataifa.

iii

 Bachelor's degree, BSc Agriculture  (Rural Economy)
 Chuo Kikuu Cha Sokoine Cha Kilimo

1985

1987

 Shahada ya Sayansi ya Kilimo Vijijini

iv

 Elimu ya Sekondari Kidato cha V & Vi
 Shule ya Sekondari Old Moshi

1981

1983

 Cheti Elimu ya Sekondari

v

 Elimu ya Sekondari Kidato cha IV
 Seminari ya Katoke

1977

1980

 Cheti Elimu ya Sekondari

vi

 Elimu ya Msingi
 Shule ya Msingi Rwambaizi

1970

1976

 Cheti Elimu ya Msingi

4.

 Uzoefu na Ajira 

Kampuni/ Taasisi

Nafasi

Kutoka Mwaka

Hadi Mwaka

i.

 Katibu Tawala wa Mkoa
 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Kagera

Katibu Tawala

2019

-

ii.

 Katibu Mkuu (Sera na Uratibu)
 Ofisi ya Waziri Mkuu wa Jamhuri ya  Muungano wa Tanzania

Katibu Mkuu

2017

2019

iii.

 Katibu Mkuu, Ofisi ya Makamu wa Rais  wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania  (Muungano  na Mazingira)
 Ofisi ya Makamu wa Rais wa Jamhuri  ya  Muungano wa Tanzania

Katibu Mkuu

2016

2017

iv.

 Katibu Mkuu (Mawasiliano) Wizara ya  Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano
 Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na  Mawasiliano

Katibu Mkuu

2016

2016

v.

 Mtafiti, Mkufunzi, Mwezeshaji, Mshauri  na Mtawala Chuo Kikuu cha Mzumbe.
 Chuo Kikuu cha Mzumbe
Mtafiti, Mkufunzi, Mwezeshaji, Mshauri  na Mtawala

1992

2015

vi.

 Mchumi wa Kilimo na Afisa Kilimo wa  Wilaya
 Wizara ya Kilimo

Afisa Kilimo Wilaya

1988

1992


 Karani  wa Benki
 National Bank of Commerce (NBC)

Karani

1984

1984


Faustin Kamuzora ni Profesa, Mwandishi wa vitabu mbalimbali, Mchambuzi, Mshauri, Mtawala na mwana rotari anayependa kujifunza, mwenye shauku juu ya uongozi wa huduma za jamii, pia ni mbobezi na mzoefu kwa miaka 30 katika Taaluma ya Utawala wa Umma. Amechapisha majarida kadhaa ndani na nje ya nchi aidha, ameandika vitabu vinne juu ya mbinu mbalimbali za utafiti wa maendeleo ya kiuchumi, amekuwa mkufunzi na mkaguzi mkuu wa kitaaluma kwa Taasisi kadhaa za Elimu ya juu, ndani na nje ya nchi. 

Faustin Kamuzora amewahi kuwa Naibu Makamu Mkuu wa Chuo (Utawala na Fedha) - Chuo Kikuu Mzumbe kwa miaka nane pia akiwa mkufunzi mbobezi, mwezeshaji na mshauri. Ameongoza na kushiriki katika warsha mbalimbali za mafunzo katika nyanja za maendeleo na uongozi, mifumo fikira, usimamizi wa mifumo ya Habari, maendeleo ya kiuchumi na usimamizi wa kimkakati.

Profesa Faustin Kamuzora kwa sasa ni Katibu Tawala wa Mkoa wa Kagera ambapo kabla ya hapo alikuwa Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera na Uratibu. Profesa Kamuzora pia amekuwa Katibu Mkuu (Mawasiliano) Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano na baada ya hapo alikuwa Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira. Aidha, amekuwa mwakilishi wa Afrika Mashariki katika Bodi Kuu ya Jukwaa la Kilimo na Ushirika Vijijini katika Bara la Afrika, Caribbean, Pacific  na Jumuiya ya Umoja wa Ulaya (ACP / EU).

Akiwa mwana rotari, alikuwa Rais wa Morogoro Central Club na Gavana Msaidizi wa Rotari ya Morogoro na Dodoma, mjumbe wa timu ya Rotari 9211, 2014-2015. Kamuzora ni Mume na Baba wa familia anayependa kusoma vitabu malimbali na anapendelea kusafiri sehemu mbalimbali duniani. Huyu ndiye Profesa Faustin Kamuzora Katibu Tawala wa Mkoa wa Kagera. 

Matangazo

  • No records found
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Wakuu wa Mikoa ya Kagera na Mtwara Watembelea Miradi Mikubwa Inayotekelezwa na Serikali ya Awamu ya Tano Mkoani Dar es Salaam.

    December 19, 2020
  • Meli ya New Victoria Yatia Nanga Katika Bandari ya Bukoba Wananchi Wajitokeza Kwa Wingi Kuipokea Meli Yao

    June 28, 2020
  • Msimu wa Kahawa Kagera Wafunguliwa Rasmi Wakulima Kulipwa Ndani ya Saa 48 Serikali Kusimamia Haki Zao

    June 09, 2020
  • Waziri Jafo Aridhishwa Na Utekelezaji wa Miradi ya Elimu Kagera Asema Shule ya Sekondari Ihungo Viwango Vyake Hakuna Tanzania Nzima

    June 05, 2020
  • Tazama zote

Video

Mkuu wa Mkoa wa Kagera na Matumizi Sahihi ya Mapato ya Ndani Katika Halmashauri
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Taratibu za biashara ya ndani
  • Barabara Kuu na ndogo za Mkoa
  • Vituo vya Redio Katika Mkoa wa Kagera
  • Wakuu wa Mkoa wa Kagera Tangu Uhuru Mwaka 1961
  • Matokeo ya Darasa la VII 2018, Wanafunzi 10 Bora, Shule 10 Bora, Watakaojiunga Kidato cha I, 2019
  • Kitabu cha Mwongozo wa Uwekezaji Kagera 2019
  • FOMU YA USAJILI WA WAFANYABIASAHARA NA WADAU WA MKOA WA KAGERA, ZIARA YA KUTEMBELEA NCHI ZA AFRIKA MASHARIKI NA KATI KWA LENGO LA KUTAFUTA FURSA ZA BIASHARA NA UWEKEZAJI NOVEMBER, 2019.

Tovuti Mashuhuri

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Takwimu Huria

Wafuatiliaji Kimataifa

world map hits counter

Kaunta ya Wageni

free HitCounter

Ramani Elekezi

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Kagera

    Anwani: S.L.P 299 BUKOBA

    Simu ya Mezani: 255 28 2220215/17

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras.kagera@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma Zetu
    • Hakimiliki

Haki zote zimehifadhiwa